Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Yesu mwenyewe hujawahi kumuona, ila unaamini uwepo wake, why?Mjadala wa kijinga sana,unaongelea vitu ambavyo ujawai kuviona zaidi kwenye sinema,umbeya na udaku vina nafasi kubwa sana kwa watanzania
mkuu Da Vinci..hebu tujiulize source ya technolojia tuliyonayo in relation to human brain ya sasa hivi...
Una amini kweli kuwa ni binadamu wa kawaida anaeratibu yote hayo...??
Ukitaka kujua hilo fikiria uwezo wako binafsi ulio nao juu ya difficultness unazokumbana nazo na je uwewahi kujiona kuwa ww una uwezo wa kufanya jambo lolote bila asistance yoyote toka kwa mtu yoyote..??
jinsi utakavyo jievaluate uwezo wako wa kiakiki ndivyo ilivyo hata kwa wengine...
point to note ni kwamba tunaegemea zaidi kusema ni conspirancy laki hebu jiulize wanaoratibu mambo hayo ni akina nani...
Leo hii jaribu kuangalia hata utengenezwaji wa madawa unabaki kuwa ni siri nzito...
Lakini kwann taasisi zinazotengeneza hazipo mavyuoni ambapo ndo elimu zote zinatolea lakini kwann wanaotengeneza wapo nje kabsaa na vyuo au mahala elimu hiyi inapotolewa..??
tusiishie kupuuza lakini uliza akili yako nyuma ya pazia kuna nini..
kwann mambo yanaratibiwa kwa siri...
??
Everything becomes conspiracy if not proven otherwise..but how should we rely on that....
ndo mana kuna principle tunaziishi lakini ndo conspirancy zenyewe hizo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, hili suala naona hajalitolea ufafanuzilifecoded
Kuna mahali nimeona (sio hapa) umeongelea nguvu iliyoko kwenye maumbo mbalimbali. Je kitu kilekile kinaweza kuelezea ishu kama jengo la ulinzi la Marekani kuwa Pentagon in shape na wenyewe kulinadi vile.
Twin towers.
Triangles like Bermuda
Pyramids
Mkuu sijaona neno Mungu hapo.
Nna maswali mengi sana kwako
Unasema kuna humanoid, mara sisi tumeundwa na alliens tuwasaidie
Mara walimodify genes, zipi walizotutengeneza nazo au walizotukuta nazo tayari.??
Sent using Jamii Forums mobile app
its just beyond yo awareness.. imeze kama ni ngumu basi itafunie kwa chai yenye kijiko kimoja cha sukari[emoji4]
Higher dimension space.
yo speak ntaelewa nmeelewa vitu vigumu ntashindwaje hiviits just beyond yo awareness.. imeze kama ni ngumu basi itafunie kwa chai yenye kijiko kimoja cha sukari[emoji4]
we jamaa am a neuroscientist chief [emoji23][/QUOTE]UOTE="lifecoded, post: 35688244, member: 487938"]
its just beyond yo awareness.. imeze kama ni ngumu basi itafunie kwa chai yenye kijiko kimoja cha sukari[emoji4]
we jamaa am a neuroscientist chief [emoji23]