Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens




Huyo Mungu wako unaeamini Ni HAI Basi NI FARA KAMA WALIVYO MAFARA WENGINE (miungu) maana alishakuwa hai Basi hyo sio Mungu Muumba, bali Ni muungu ambae lazima afe (maana yu hai)
 
Huyo Mungu wako unaeamini Ni HAI Basi NI FARA KAMA WALIVYO MAFARA WENGINE (miungu) maana alishakuwa hai Basi hyo sio Mungu Muumba, bali Ni muungu ambae lazima afe (maana yu hai)
Nani alikwambia kila kilicho hai lazima kife ?

Ujinga upo hapa, ambapo mnamjadikia msiye mjua. Vipi umfananishe muumbaji na alichokiumba ?
 
Umejuaje kama hayupo ?
Tunapambana na hali zetu wenyewe wakati wewe unanena yupo.!? Hata kama ni kweli angelikuwapo bado asingelikuwa na umuhimu

Narudia, mungu mwenye madevu na yeyote yule anayedai kaumba vyote hivi na visivyojulikana....Hayupo
 
Huko ni kuchanganyikiwa akili hata kudai kuna alien, hilo ni tatizo la wazungu wote wenye psychosis, hakuna aliyewahi kuona alien, hakuna anayejua kiuhakika nani katuumba, ila tuna imani tuliumbwa na master soul of all souls, and this soul doesn't die but the rest die.
It kills me to see black educated youths thinking like white people – Jacob Zuma (video) | Africa Updates
 
Tunapambana na hali zetu wenyewe wakati wewe unanena yupo.!? Hata kama ni kweli angelikuwapo bado asingelikuwa na umuhimu

Narudia, mungu mwenye madevu na yeyote yule anayedai kaumba vyote hivi na visivyojulikana....Hayupo
Mpaka najiuliza,kwanini hujibu swali nililo kuuliza ?

Unaanza kujielezea na kuonyesha wasi wasi na kujihami. Jibu swali nililo kuuliza au swali nililo uliza.
 
Mpaka najiuliza,kwanini hujibu swali nililo kuuliza ?

Unaanza kujielezea na kuonyesha wasi wasi na kujihami. Jibu swali nililo kuuliza au swali nililo uliza.
Sijakujibu au umeamua kutonielewa

Kwani kwa mujibu wa vitabu vyenu mungu anamahusiano yapi na wanadamu, nikimaanisha kile ambacho yeye hutenda ili kukufanya wewe uamini kuwa huu ni mkono wa mungu na si vingine.?
 
Sijakujibu au umeamua kutonielewa

Kwani kwa mujibu wa vitabu vyenu mungu anamahusiano yapi na wanadamu, nikimaanisha kile ambacho yeye hutenda ili kukufanya wewe uamini kuwa huu ni mkono wa mungu na si vingine.?
Kwanza jibu nilicho kuuliza, kisha nijibu hiki ulichokiandika.

Swali langu rahisi sana, nimeuliza hivi "Umejuaje kama hayupo. ?". Wewe unajielezea, hivi ndivyo mlivyofundishwa ?
 
Kwanza jibu nilicho kuuliza, kisha nijibu hiki ulichokiandika.

Swali langu rahisi sana, nimeuliza hivi "Umejuaje kama hayupo. ?". Wewe unajielezea, hivi ndivyo mlivyofundishwa ?
Ni kwasababu hayupo, au wewe unajua alipo.?
 
Ni kwasababu hayupo, au wewe unajua alipo.?
Usiniulize swali kabla hujajibu swali langu. Kwa akili yako ya kawaida tu unaona hili ni jibu ? Huwa mna shida gani vijana,nakupa mfano uone kwamba hujajibu swali.

Zurri : Kwema chief ?
Jurjani : Kwema kaka. Mzima ?
Zurri : Paula yupo ?
Jurjani : Hayupo.
Zurri : Imekuwaje leo hayupo ?
Jurjani : Sababu hayupo.

Sasa huu ujinga, unatakiwa uuache. Vipi tamko "hayupo" liwe ndiyo sababu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…