Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Mkuu lifecoded ukipata muda unaweza kuzungumzia juu ya ancient sumerian kwa uchache

Nataka kupata maoni yako juu ya hekaya kama zao vipi kama zinashabihiana na unachokizungumza
 
Tofautisha between aliens na malaika
 
Mzee wa kambi nipo nawaskilza tu nishaweka kambi kwa huu uzi na kuna nondo nzuri sana asa wewe kaa na ubishi wako
 
Kodi zitusumbue, na haya mambo ya aliens yatusumbue. This is too fucking big
Mkuu wazungu wangesema hivihivi basi kungekuwa hakuna smartphone wala jf.

Sababu wangesema barua zipo hivyo hakuna haja ya simu wala haya mambo ya simu yasitusumbue na wangemalizia this is too ......... Big.

Hiyo ndio tofauti ya mwafrika na mzungu.
 
Bila Shaka sinema uliyokuwa unatazama ilikukosha haswa. Usilete Mambo ya sind bad Hapa.
 
Nasubiri uje kuweka neno chanjo ya covid 19 naona tayari
Ha ha mkuu hiyo kitu achana nayo kabisa broo..mlengwa ya hiyo kitu ni mzungu mwenyewe bana..kumbe kuna nchi zometagetiwa alooo...ni kutokana na kukataaa millenium mpya ya makubaliano ya kumove kutoka civilization hii kwenye nyingine zaidi..ila kuna mabwana kama 3 walikataa ..ndo utengenezaji wa strain ya kuungamixa race flan ikatengenezwa...the strain itself ni selective kwa aina flan ya contact breeding....

Wale jamaa wana stock ya kila aina ya maangamizi kulingana na sura yako na ngozi yako au akili yako ...

Hebu tusiwe na was wasi ...corona si no longer a number one targeted kwa Africa..ila kuna watu maalumu wamelengwa mpaka watubu
 

[emoji41]
 
Hiyo inakuja kabixaa
 
Hivi alliens wamejiumba kwa hizo codes zao? Je hawafi wanaishi MILELE?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…