nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,731
- 4,271
Niende Moja kwa Moja kwenye lengo.
Tangu 2007 baada ya Serikali kuanguka kutokana na matokeo ya tume huru iliyoongozwa na kaka yangu Mwakyembe, watanzania waliaminishwa Lowasa ni mbaya sana.
Ikafikia hata baadhi ya matamko kutoka kwenye vinywa vya watoto wa viongozi wa kipindi hicho (Ridhiwani) kuwa iwe Jua au mvua hawezi kuwa Rais.
Kufika 2015 katika harakati za kutafuta mgombea kupitia CCM, Mzee akakatwa makusudi Ili kuudhihirishia umma kuwa Lowasa hafai.
Hapo ndipo sura ya taifa la Tanzania likabadirika.
Tukashuhudia sio propaganda tu Bali mpaka mauwaji kwa wenye hoja tofauti.
Watanzania tukagawanywa vibaya katika kabila, Kanda, mpaka Koo.
Nchi imepitia kipindi kibaya sana kuwahi kushuhudiwa tangu uhuru.
Tuna makovu makubwa sana.
Lakini Kuna mwanga nimeamza kuuona sasa[emoji116][emoji116]
Moyo wangu umefarijika sana.
Lakini mama ana kazi kubwa ya kufanya.
Kuwaaminisha watanzania kuwa zile hazikuwa siasa za kistaarabu.
Kupigana, kutekana, kuuwawa kubambikia kesi
Kuwaaminisha watanzania kuwa wapinzani ni wazalendo kuliko Wana CCM.
Tuendelee kuomba Mungu hii Suluhu inayofanyika itimie. Maana kundi la akina Sabaya lipo Bado na Lina nguvu pia.
Ahsante sana
Tangu 2007 baada ya Serikali kuanguka kutokana na matokeo ya tume huru iliyoongozwa na kaka yangu Mwakyembe, watanzania waliaminishwa Lowasa ni mbaya sana.
Ikafikia hata baadhi ya matamko kutoka kwenye vinywa vya watoto wa viongozi wa kipindi hicho (Ridhiwani) kuwa iwe Jua au mvua hawezi kuwa Rais.
Kufika 2015 katika harakati za kutafuta mgombea kupitia CCM, Mzee akakatwa makusudi Ili kuudhihirishia umma kuwa Lowasa hafai.
Hapo ndipo sura ya taifa la Tanzania likabadirika.
Tukashuhudia sio propaganda tu Bali mpaka mauwaji kwa wenye hoja tofauti.
Watanzania tukagawanywa vibaya katika kabila, Kanda, mpaka Koo.
Nchi imepitia kipindi kibaya sana kuwahi kushuhudiwa tangu uhuru.
Tuna makovu makubwa sana.
Lakini Kuna mwanga nimeamza kuuona sasa[emoji116][emoji116]
Moyo wangu umefarijika sana.
Lakini mama ana kazi kubwa ya kufanya.
Kuwaaminisha watanzania kuwa zile hazikuwa siasa za kistaarabu.
Kupigana, kutekana, kuuwawa kubambikia kesi
Kuwaaminisha watanzania kuwa wapinzani ni wazalendo kuliko Wana CCM.
Tuendelee kuomba Mungu hii Suluhu inayofanyika itimie. Maana kundi la akina Sabaya lipo Bado na Lina nguvu pia.
Ahsante sana