Propaganda ni mbaya sana, imepotosha Watanzania

Majina ya wahusika wote bado yangalipo
 
Chadema ndio chanzo cha Lowassa kuchukiwa propaganda ilianza pale mwembe yanga labda ulikuwa hujaziliwa!
Siasa za 2015 bado nazikumbuka...Dr Slaa alipishana na Lowasa mlangoni...Baadaye Lowasa akaamua kurudi kundini....sasa wote wawili hao wako nyumba moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…