Kulikuwa na organization fulan isiyokuwa rasimi kwenye vyombo vya ulinzi ambayo ilikuwa ni ya watu wa Kanda ya ziwa.
Hawa walikuwa informers na mahususi kwa yoyote anayeonekana mpenda haki na hashabikii uonezi waliokuwa wanafanyiwa upinzani hasa tangu Tundu Lissu alivyopigwa risasi.
Tuombe Mungu, Mama afanikishe haya maridhiano Ili kuwepo na mizani sawa kwa Kila chama.
Pia police department wapewe seminar waelewe kuwa wao ni civil servants na sio Wana CCM (police CCM)