Habari wana janvi natafuta mtu anayeweza kuandika andiko zuri la Seed Production And Dissemination ninataka kulitumia kuombea fedha kwenye taasisi za fedha kwa ajili ya kuzalisha mbegu na kuuza kwa wakulima,ujira ni maelewano.Kama yupo tuwasiliane kwa email;akamanyusi@yahoo.com