Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
NdioUMEFANIKIWA??
Usaidiwe au UHUDUMIWE kupata hiyo proposal na kulipia hiyo hudumaPoleni na mihangaiko,
Nimepata wazo la kufungua kituo cha kujaza mafuta.
Kama kuna yeyote ana mfano wa propozo ya kufungua kituo cha kujaza mafuta naomba anisadie.
Ahsanteni.
😂😂UMEFANIKIWA??
Meneja umesema umefanikiwa na mimi naomba sample tafadhali, Watz hatunyimani fursa Nigeria ndiyo wananyimana. Nitumie sample kwy majwalaoriko@yahoo.co.ukPoleni na mihangaiko,
Nimepata wazo la kufungua kituo cha kujaza mafuta.
Kama kuna yeyote ana mfano wa propozo ya kufungua kituo cha kujaza mafuta naomba anisadie.
Ahsanteni.
Mkuu Meneja. Unaweza kushea nami PM hiyo proposal?Ndio
Mkuu. Unaweza kushea nami PM hiyo proposal?Meneja umesema umefanikiwa na mimi naomba sample tafadhali, Watz hatunyimani fursa Nigeria ndiyo wananyimana. Nitumie sample kwy majwalaoriko@yahoo.co.uk
Hapana, najifurahisha tunawee unataka ujenge Sheli🤣🤣
It is useful. Asante mkuuBadilisha majina ya watu, maeneo, kampuni na thamani kutokana na utafiti wako.