GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Naombeni majibu tafadhali!
1. Mtu asiye na taaluma ya madini anaruhusiwa kumiliki leseni ya aina hiyo?
2. Utafiti wake utamnufaishaje?
3. Endapo utafiti wake utamwezesha kugundua mahali penye madini, ataruhusiwa kuiupgrade liseni yake ili aweze kulimiliki hilo eneo kwa ajili ya uchimbaji?
1. Mtu asiye na taaluma ya madini anaruhusiwa kumiliki leseni ya aina hiyo?
2. Utafiti wake utamnufaishaje?
3. Endapo utafiti wake utamwezesha kugundua mahali penye madini, ataruhusiwa kuiupgrade liseni yake ili aweze kulimiliki hilo eneo kwa ajili ya uchimbaji?