Prostate cancer & Dr.'s?

Prostate cancer & Dr.'s?

Katabazi

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2007
Posts
353
Reaction score
22
Wana JF,
Naomba kuuliza dalili za za kuwa na prostate cancer?
Je kwa DSM ni wapi naweza kupata ushauri mzuri kuhusu prosate cancer na labda Tiba?
Na la mwisho naomba kujua kama kuna mwana JF anayejua ma daktari bingwa wazuri kwa tiba hiyo bila kujali gharama kwa hapa Tanzania,
Natanguliza shukurani,
Katabazi.
 
Back
Top Bottom