Protokali ya kumi na tatu

100% message delivered
 
Kuna mambo mengi sana yanayoendelea nyuma ya pazia ambayo yanatisha na hata ukimueleza mtu wa kawaida asiye na ufahamu hawezi akakuelewa anaweza akakuona una matatizo ya akili.
hili lineshawahi kunitokea
 
To continue controlling you n your generations. Upo?
Kila mtu anakufa_ huo ndio mwisho wa kila aina ya nyimbo

Ikiwa hawafi... Hilo unalosema linaweza kuwa na mashiko

Lakini kama wote tutakufa_'hatukatai'

Ila zinaweza kuwa ni agenda za wafanyabiashara waliokosa kazi ya kufanya duniani

Waliolewa na mapato na kuwatia uchizi na hilo ni kwa kila binadamu yeyote mwenye nafasi

Sio wao Tu _na sio tatizo
 
Death is not apparent ! Is transformation from one energy to another energy
 
Death is not apparent ! Is transformation from one energy to another energy
Kwa hivyo hii inahusiana vipi na muktadha...!?

Kwani nimetaka kujua ni kipi kimpatacho mtu baada ya kufa.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…