Ila bora hao ambao wanajulikana hawana mashabiki kuliko simba na Yanga wapiga kelele wengi ila wanachama wachache.Tuliotazama mechi ya Azam na coastak Union tumejiridhisha pasi na shaka kuwa chama letu halina mashabiki,uwanja mzima mashabiki tulikuwa kama 1000 tu
Wakiwa wanacheza na Simba wanakua na washabiki milioni "salasini"!🤣🤣🤣Tuliotazama mechi ya Azam na Coastal Union tumejiridhisha pasi na shaka kuwa chama letu halina mashabiki,uwanja mzima mashabiki tulikuwa kama 1000 tu