Proved, Azam FC haina mashabiki,uwanja leo ulikuwa mtupu

Mi nilikuwepo uwanjani ila kilichotokea leo ni kwamba hapa zenji uuzwaji wa tiketi za kuingia uwanjani zinauzwa kwa mfumo wa ovyo sana, yaani tiketi zinauzwa getini pekee sasa watu walikuwa wengi kinoma ikawa tabu tupu
Huwezi amini watu ambao hawajaingia ni wengi kuliko walioingia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…