Provisional results

Sasa bimkubwa hebu nami nisaidie kidogo, hivi vyuo vina utaratibu wa kutoa kopi kwa idadi anayotaka mwombaji au mhusika?
 
Sasa bimkubwa hebu nami nisaidie kidogo, hivi vyuo vina utaratibu wa kutoa kopi kwa idadi anayotaka mwombaji au mhusika?

Ndio Zagallo. Ni pesa zako tu. Ukitaka copy kumi utapewa tu. Ila hii ni kwa uzoefu wangu wa udsm. Bila shaka na vyuo vingine watakuwa wanakubali, maana nayo ni income generation of some sort.
 
Ndio Zagallo. Ni pesa zako tu. Ukitaka copy kumi utapewa tu. Ila hii ni kwa uzoefu wangu wa udsm. Bila shaka na vyuo vingine watakuwa wanakubali, maana nayo ni income generation of some sort.
Asante sana kwa taarifa!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…