INAUZWA Ps2 complete inauzwa 160k

marandu2010

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2010
Posts
1,201
Reaction score
446
Aminia games tunakuletea PS2 COMPLETE INAUZWA 160K
Ipo katika hali nzuri
imechipiwa
Ina memory card ya kuboot na kusave
ina flash disk 8gb na games 4 unazopenda
Ina pad mojaina cables zote,(waya wa umeme na waya wa kuunganisha na tv)
NIPO DSM 0712705389


 
Mkuu Bei yako iko juu, punguza.
Mitaan wanauza USED DUBAI mpaka 130,000/- na unapewa na Pads 2
 
Mkuu Bei yako iko juu, punguza.
Mitaan wanauza USED DUBAI mpaka 130,000/- na unapewa na Pads 2
mkuu pad inawekwa original ile ya 30k na pia bei inazungumzika,dubai 130k na tanzania itakuwa hivyo hivyo? Pia kuna flash hapo na vifaa vingine,dubai hawakupi flash disk,dubai hawakuwekei games,na mostly mashine zao hazijachipiwa ili zicheze flash,ina maana mpk uchip hapa bongo kwa 30k.
 
Hujaelewa,
Namaanisha kuna wanaouza USED IMPORTED FROM DUBAI, wako mitaani. Other things wanakupa same as what you have with Two Pads mpya.
 
Nlikua namaanisha kama uyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…