Ps3 hacked!

Cestus

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
987
Reaction score
132
The most secure console of ths generation(not anymore)has been fully hacked by the group of hackers and the man himself Geo Hotz..Sony can do nothing about it but crying in the corner..they claimed that they'll block the hack by firmware update,bt the hackers said that the hack can only be reversed by hardware update smthng which will cost sony their market...and if the do change the hardware,it'll be an endless battle..
 
Exciting! Now we can freely enjoy the console.
 
Long live hackers long live crackers. Pirated PS3 games n0w at my disposal. Niice.
 
actually games will be heavily and hard to dowload...mfano god of war 3 ina 36GB! How long will u download that file?
 
waliozoea vya kunyonga utawajua tu! Jamani watu wanatumia hela kutengeneza hizo prog. Wapeni support. Fikiria una kampuni unalipa dev wako lakini watu hawanunui program zako badala yake wantumia pirated. Haihitaji PhD kujua kuwa hutaendelea kutengeneza! Thumbs down for crackers and red handed hackers! :angry:
 

Dont care as long as i get ma hands on cheap CDs.lol
 
yeah who cares? Watu wanavunja hadi bank ije kuwa kudownload pirated apps? Istoshe ss 2metafuniwa tu kaz ye2 ni kumeza...
 
do you know now why Tanzanians don't invest in low level development of software? They know no body will buy them!
 
Watu hao unaowasema wana mahela mengi tayari halafu wachoyo!
Wewe unataka tuwasupport!
Kivipi sisi masikini tuwasapoti matajiri!

Long live crackers and hackers!:yo::yo::yo::yo::yo::yo:
 
actually games will be heavily and hard to dowload...mfano god of war 3 ina 36GB! How long will u download that file?

No!
That is a temporal problem here. You can today in South Korea download your God of War in less than 40min at 16.6 Mb/sec connection speed
And people are at work to increase that too.

Only the sky is the limit.
 
yeah in advanced countries thats possible...assume ndo hii spid yetu ya 220 kbps..tena ucku wa manane..!
 
Mambo,
console cd ni ghali sana. Ukinunua cd 8 ni sawa na console mpya. mfano, xbox game cd kwanzia Tsh 60,000 na ikiwa hacked unanunua cd kwa Tsh600!! 🙂 (soko la India)
Sasa wewe utanunua ipi na mtoto wa Bill gate ananunua ipi?
 
jamani through my gaming experience ps3 is one of the best gaming machine i ever seen, since i bought inanishangaza vitu vingi kwanza kuhusu hackers walivyofanya ni tofauti na xbox 360 au ps1 na ps2 kuna kifaa unanunua kinaitwa psjailbreak ambacho kinasaidia kucopy game from cd kwenda kwenye hard disk ya game na uichezee humo humo but madhara yake unakuwa hauwezi kuacess playstation network online wala kupata update, kusema kweli hackers wa kucopy cd ziuzwe buku 5 kama ps2 na ps 1 bado nazani sababu ya blue ray version inayotumia ps3, i bought best game god of war 3 ilivyotoka kwa laki mbili na nusu pale mliman city wakati god of war 1 na god of war 2 nilinunua buku 5 kariakoo enzi za ps2 but sijajutia hela yangu kwa entertainment inayonipa hadi leo nimetoka kumuua god of the sun herios, jamani gharama zinazotengenezewa game za ps3 ni mara 100000 ya gharama za movie za kanumba so tuwasapoti developers kwa kuwachukia hackers
 

Dah i'm still yet to update from my PS 2 to this bad boy.But god of war umenikumbusha niliacha kucheza ilistuck somewhere before fighting this guy with wings whom you cut them off and fly them.ilistuck hapo ikawa jamaa huyo hatokei kufatilia google nikajua kuwa cd fake nyingi hiyo sehem huwa zina fail kuload.One more disadvantage.But you have to agree with me they save you some serious amount of moneý
 
killing hades,poseidon and hercules is more fun than anythng!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…