schizoid-man
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 402
- 389
Kuna ps5 arafu bei chee tu
Kula laki Tano kesho nitakua kasulu hamna hata haja ya gharama za usafiri
Bei sh ngap?Kuna ps5 arafu bei chee tu
Wapi mkuu?Kuna ps5 arafu bei chee tu
Kijana, hii ni Playstation yako ya kwanza nini?!
Hiyo bei umetoka nayo wapi mkuu.....?!
Bei ya soko haizidi laki 7 na hapo umewapiga watu inashuka sana tu......
Wewe unasema milioni 1 duh mkuu hebu uwe unatafiti kwanza. By the way, unajua kuwa PS5 ipo sokoni?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu. Niwie radhi.Yes ni ya kwangu chief,
bei ni mazungumzo mkuu kwani tunagombana? Unasema ulichonacho tunafanya biashara.
Simple