PSG kumtambulisha Neymar kwa ‘mbwembwe’ Jumatano

daaah, dunia haina usawa. yani huku tumeunda hadi tume 7 kutafutiza pa kudai makanikia, alafu neymar mmoja tu analamba mabilioni hayo. c watupe sisi hizo hela tununuliwe hata bajaji wakati tunasubiri Noah zetu,
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji23]

What goes around always comes around
 
Shida ya huyo dogo anajiskia sana kingine Barca hatupendi wavaa hereni
Hahaha dah haya
ila mkuu bilioni 500 lazima uringe
leo kapewa permission asifanye mazoezi na wenzie, sasa hio sijui ina mana gani sijui ndo document zinaandaliwa ama vipi

What goes around always comes around
 
Reactions: PNC
Punguza hasira kijana
Kwakwel mkuu...maana neymar atakua analipwa mshahara kwa hela ya kitanzania bilioni 1.9 kwa wiki kabla ya makato ya kodi, sasa kwanini jamaa asiwadengulie barca hahaha

What goes around always comes around
 
Kwakwel mkuu...maana neymar atakua analipwa mshahara kwa hela ya kitanzania bilioni 1.9 kwa wiki kabla ya makato ya kodi, sasa kwanini jamaa asiwadengulie barca hahaha

What goes around always comes around
Pesa ndefu sana hiyo, Leo Hii hawamtaki mvaa hereni eti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…