PSG kumtambulisha Neymar kwa ‘mbwembwe’ Jumatano

Mwanzoni ulipinga hivi kweli?
Mkuu unajua mashabiki hasa wa tanzania tunamatatizo kwelikweli!!

Cha kushangaza anayemponda hamiliki hata bajaji!!

Hivi hizo pesa mtu angepewa angekataa?? mpira ni kazi na sio kitu kingine!!

Nna uhakika kama barcelona wangeweza kumlipa hizo pesa wala asingetaka kuondoka!!

Acha aondoke akapate maslahi zaidi... maana hata gaucho aliondoka messi akaonekana!!
 
Updates::

Neymar leo alikua na kikao na mabosi wake wa barca, akiambatana na baba yake na wakala wake, amewaambia rasmi kwamba anataka kuondoka.

Kwaio wakaambiwa sasa mnajua buy out clause ni shilingi ngapi kijana kwenye contract yako...euro milioni 222.

Kwahio hadi sasa dogo bado yuko chini ya barca kwa mkataba lakini kwa kibali cha muda mfupi cha kutokuwepo kwenye mazoezi ya timu.

What goes around always comes around
 
Ameumia kisa anaondoka, Leo ndio anamuona mvaa hereni
 
BARCELONA NI ZAIDI YA TIMU NA NI KUBWA KULIKO SHOGA NEEMA
Kuna kitu nawaza hapa kuwa wewe ndio utakuwa SHOGA ila kibongo bongo haukulipi sasa umebakiza chuki tu za kike

Umekaa kutwa kutuaminisha kuwa ronaldo shoga kumbe wivu tu, haya umehamia kwa neymar tena kisa tu anahama club yenu ubaya chuki humchoma anae ihifadhi we endelea na machuki yako wenzio wanapiga hela na wala hawajui ata kama kuna PUNGA tanzania linajiita PNC 1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakurupuka sio hahahaha wabongo bwana.
Nenda fanya research yako au muulize salim kikeke atakuambia hahaaha au mpaka mumuone ameshika jezi ya PSG mbele ya mnara wa kule PARIS

What goes around always comes around
Kuondoka barca anaondoka ila hatambulishwi leo jumatano
 
Nasikia bosi wa la liga amesema hawatakubali malipo ya psg kwenda barca sababu psg wamekiuka sheria ya financial fair play(FFP)
 
neymar mbona alikuwa china kwaajili ya promotion na leo anarudi barc kesho mazoezini kama kawa na barcelona au unamzungumzia neymar sr ndio aliyeenda dubai?
Unaona au? Mbona alishaghairi kwenda huko siku nyingi kwa ajili ya usajili? Yaani aache mpunga wa maana aende kwenye stad show?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…