PSG yaifunga Real Madrid 1-0, Uefa Champions League, Messi akikosa penati

PSG yaifunga Real Madrid 1-0, Uefa Champions League, Messi akikosa penati

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Matokeo ya mechi za kwanza hatua ya mtoano, PSG ikianza vizuri nyumbani kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Real Madrid.

Unadhani PSG wana nafasi ya kutoboa katika mchezo wa marudio na vipi kiwango cha Meddi ni kweli kinazidi kushuka au hajakaa sawa?

33.JPG
 
Back
Top Bottom