Pspf

LUSANGA

Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
31
Reaction score
3
jamani kwa wale tulofanya interview Pspf tar 19 march je washaita watu wao kazini?sie watoto wa kina baba kabwela najua hatuez kuingia palee.
 
Kama unajua huwezi kuingia ni bora usiulize ili usiumie.
 
Kama huna ndugu pale ucjisumbue maana mimi kuna mtu namjua pale kila zktoka nafas za kaz lazma anambie ila bahat mbaya unakuta sicho nilichosomea....pspf wanaundugu sana na wanaekana marafiki wenyewe kwa wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…