Mwamba1961
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 626
- 409
๐๐๐๐๐Lazima uanze kulia humo ndaniNasikia Technician II -Agricultural kulikuwa na watu wa Mechanical Engineering, irrigation Engineering, Agro mechanical engineering na Agricultural engineering. PEPA LIKAJA LA MAMBO YA SOIL. ๐๐๐๐๐
Sekretarieti ya Ajira Mungu anawaona aisee..
๐๐๐๐๐Lazima uanze kulia humo ndani
๐๐๐๐๐Lazima uanze kulia humo ndani
๐๐๐๐Hahhhh aliona dalili mbayaKuna jamaa, alivyomaliza Pepa kaondoka, majibu yamemkutia Dar,
๐๐๐๐Wanatoa chochote kinachohusiana na hiyo nafasiSasa mechanical na soil wapi na wapi ??
Ungepita huwezi jua mzeeYani mzee ni hatari, Bora Mimi Sikuenda, ningeharibu nauli tu
Ungepita huwezi jua mzee
Ulipita kwenda oral?Japo pepa lilikuwa gumu nitoe shukran zangu za dhati kwa msaada wako.
Sent from my PDBM00 using JamiiForums mobile app
Ndoige, ngumi pelesu pelesuVipi majibu yapoje mzee?
๐๐๐๐Hahhhh ngumi inakata konaNdoige, ngumi pelesu pelesu
Hivi TRA usaili umefutwa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhh ngumi inakata kona
Hatari [emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhh ngumi inakata kona
Watawaita sio muda mrefuHivi TRA usaili umefutwa?
Naona unafanya kazi utumishi sikuhizi๐๐Watawaita sio muda mrefu
๐๐๐๐boss unanisema hivi hivi hahhhhNaona unafanya kazi utumishi sikuhizi๐๐
Boss au unatuchora mwenzetu sio jobless ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐boss unanisema hivi hivi hahhhh
๐๐๐๐Naomba buku boss wangu ,umeamua kuninyanyasa hahhhBoss au unatuchora mwenzetu sio jobless ๐คฃ๐คฃ
Tukutoe kwny list ya majobless๐