PSSSF acheni uhuni na utapeli, kama hela za pensheni hamna semeni

PSSSF acheni uhuni na utapeli, kama hela za pensheni hamna semeni

sacred wall

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2017
Posts
804
Reaction score
1,322
Acheni kuwasumbua wazee wa watu. Leo masikini wazee wanakwenda kutafuta hela zao bank wanaambiwa hakuna hela kwa vile hamjahakikiwa. Hamjawahi kutoa notice ya uhakiki kwa mwezi wa January, 2020, mnategemea mtu atapataje taarifa.
Acheni uhuni na utapeli, kama mmeishiwa hela waambie wastaafu wajue hatima yao mapema. Na hii ni uthibitisho kuwa mifuko inafilisika! Mna buy time mkusanye vihela ndio muwalipe.
 
Naunga hoja,Jana kuna wazee watatu nimewakuta wamekaa chini kwenye ATM ya Bank ya Posta tawi la Kenyata Mza nilivyotoka wazee wakaniambia ,pesa zao hawajawekewa na wametoka mbali na hawana nauli hata yakuludia makwao,ilibidi niwape nauli,kumbuka mida hiyo ilikuwa saa tisa jioni
 
Naunga hoja,Jana kuna wazee watatu nimewakuta wamekaa chini kwenye ATM ya Bank ya Posta tawi la Kenyata Mza nilivyotoka wazee wakaniambia ,pesa zao hawajawekewa na wametoka mbali na hawana nauli hata yakuludia makwao,ilibidi niwape nauli,kumbuka mida hiyo ilikuwa saa tisa jioni
Hao wazee wakati kama huu Wa uchaguzi ndio wanajifanya makada sana wakikuona kijana haupo upande Wa kijani wanakuona umepotea kabisaa wakat mwingne unawaonea huruma kwa haya wanayopitia ila ndio hivyo wamechagua upande Wa mateso

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom