Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamia burundi mkuuNaomba serikali kuu itupie jicho psssf Kuna shida kubwaaaaaa sasa sijui tunwalaumu bure Labda maelekezo toka ngazi za juu aya wanayofanya mtu mafao unafatilia miaka mara sijui linapotea sijui nini Daaah inatia hasira sana
Pole, naoana una uchungu hadi umeshindwa kuandika vizuri.Naomba serikali kuu itupie jicho psssf Kuna shida kubwaaaaaa sasa sijui tunwalaumu bure Labda maelekezo toka ngazi za juu aya wanayofanya mtu mafao unafatilia miaka mara sijui linapotea sijui nini Daaah inatia hasira sana
Burundi ni kwa wenye hoja kuhusu tozo.Hamia burundi mkuu
🤣🤣🤣Ata mafao piaBurundi ni kwa wenye hoja kuhusu tozo.
Ndiyo maana wanaitwa na kuhojiwa uraia wao[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] noma sana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ata mafao pia
Loh!Tumefilisika