Pre GE2025 PSSSF na AICC kujenga ukumbi mkubwa wa mikutano

Pre GE2025 PSSSF na AICC kujenga ukumbi mkubwa wa mikutano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KMICC) kati ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), ni kielelezo cha utekelezaji wa maono ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Rais Samia Suluhu Hassan.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Waziri Kombo ametoa kauli hiyo Jijini Arusha wakati wa hafla ya utiaji saini mkataba wa ujenzi wa ukumbi huo utakaokuwa mkubwa zaidi nchini.
 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KMICC) kati ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), ni kielelezo cha utekelezaji wa maono ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Rais Samia Suluhu Hassan.

Waziri Kombo ametoa kauli hiyo Jijini Arusha wakati wa hafla ya utiaji saini mkataba wa ujenzi wa ukumbi huo utakaokuwa mkubwa zaidi nchini.
Bado mnachota pesa zetu na hamjui kama zitarudi lini....kweli psssf wanataka kuwekeza huko au ni amri pesa zetu ?? Pensheni zinachelewa pesa mnachezeaaa
 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KMICC) kati ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), ni kielelezo cha utekelezaji wa maono ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Rais Samia Suluhu Hassan.

Waziri Kombo ametoa kauli hiyo Jijini Arusha wakati wa hafla ya utiaji saini mkataba wa ujenzi wa ukumbi huo utakaokuwa mkubwa zaidi nchini.
Bado mnachota pesa zetu na hamjui kama zitarudi lini....kweli psssf wanataka kuwekeza huko au ni amri pesa zetu ?? Pensheni zinachelewa pesa mnachezeaaa
 
Ikiwa tu faida zitokonazo na mpango huo utawaneemesha wachangiaji wa PSSF.

Basi sina la kuhofia.

Je, uwekezaji huo utawaneemesha wachangiaji wa mfuko hu?

Kama jibu ni ndio, watatawanya vipi na kwa vigezo gani faida zitakazo patikana kutokana na mkataba wao na biashara za Ukumbi huo?

Kwa taasisi, mashirika, makampuni etc etc? au kwa wachangiaji momja mmoja/ndividuals? manake huo mkataba na mengineyo yote kwa tafisiri ni kwamba, huo ni uwekezaji. Faida zikirudi utawaneemesha wachangiaji?

###############

Je, Wachangiaji wa PSSF wataweza kuuona mkataba huo pasipo shuruti?
 
..sijawahi sikia km AICC kupitia biashara hii ya kumbi za mikutano walizo nazo arusha na dar km zinawapa faida..na wanatoa gawio kwa serikali! Biashara za kumbi ni za private sector..au kwa nini hawafanyi ujenzi kwa PPP..?
 
Ikiwa tu faida zitokonazo na mpango huo utawaneemesha wachangiaji wa PSSF.

Basi sina la kuhofia.

Je, uwekezaji huo utawaneemesha wachangiaji wa mfuko hu?

Kama jibu ni ndio, watatawanya vipi na kwa vigezo gani faida zitakazo patikana kutokana na mkataba wao na biashara za Ukumbi huo?

Kwa taasisi, mashirika, makampuni etc etc? au kwa wachangiaji momja mmoja/ndividuals? manake huo mkataba na mengineyo yote kwa tafisiri ni kwamba, huo ni uwekezaji. Faida zikirudi utawaneemesha wachangiaji?

###############

Je, Wachangiaji wa PSSF wataweza kuuona mkataba huo pasipo shuruti?
Hiiih, eti mikataba huwa Siri wakati pesa ni za wastaafu duuh, ni shida !
 
Kuna nafasi zinahitaji qualified people na kamati za bunge kwenye nafasi za investment pia zinahitaji qualified people; to balance checks.

Mradi kama huo utaambiwa gharama zake ni za ajabu na return yake ni ndogo.

Revenues za ukumbi kama huo inauwezo kutengeneza kiasi gani cha faida kwa mwaka kutokana na matumizi ya ukumbi wenyewe PSSSF iwe na cash flow ya kumudu pension commitment zake.

Tayari washstupa billions of money kwenye project ambazo hazina cashflow nzuri (PSSSF) towers ambazo occupancy mpaka leo ni below expectations.

Ni serikali iliyojaa watu wasio na uwezo tu ndio inaweza ruhusu huu upuuzi.

My god, lini hii nchi itapata watu wenye uwezo wa kuongoza; yaani tunaenda in circles kwenye ujinga.

Unajua mapema hii ni white elephant project ya serikali.
 
Hiiih, eti mikataba huwa Siri wakati pesa ni za wastaafu duuh, ni shida !
Kweli kabisa.

Pesa zinazo kusanywa na kutumiwa, ni za Umma, wastaafu pia ni umma, ila mkataba sio ya Umma,

Kuna tatizo la mbeleni.
 
Back
Top Bottom