PSSSF, TPA mmekubali tupigwe na Wakenya kwa knock out?

PSSSF, TPA mmekubali tupigwe na Wakenya kwa knock out?

Bemendazole

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2020
Posts
2,649
Reaction score
6,680
Kama mnavyojua majirani wanapenda kuishi kwa janja janja nyingi. Kutokana na uwezo mdogo wa kujenga majengo marefu, they are cheating kwa kupandisha minara mireefu juu ya majengo yao ili kuyaingiza kwenye chati za uongo na kweli za majengo marefu.

Screenshot_20210907-064334.jpg


Hili sio jambo geni. Mtifuano kama huu uliwahi kutokea wakati jengo la State empire na jengo la Chrysler linajengwa na kila mmoja akaamua kuweka mnara mrefu zaidi ili kumzidi mwenzake.

images (3).jpeg

images (2).jpeg

Sasa kwa hapa nchini, naamini nyinyi na TPA ndio wenye majengo marefu zaidi nchini.

Lakini kama mtakuwa mliwahi kusoma somo la Civics basi naamini mtakuwa mmeshakutana na msamiati unaitwa National Pride.
Hii imefanya nchi nyingi za Asia na China kujenga majengo marefu ili kuingia kwenye chati.

Kwa kuwa Kenya wameanza, sisi tumalize.

Tafuteni hata kampuni za simu au Tanesco wapandishe towers zenye height kama ya mita hamsini kwenye majengo yenu marefu ili kuyafanya yawe marefu zaidi exceeding Kenya standards. Kama wao Wakenya wamefika mita 200, nyie wekeni mnara mrefu mfike mita 205.

images.jpeg

images (1).jpeg

telecom-tower-500x500.jpg


We need to run fast. Tumedhamiria ifikapo 2030 hawa jirani wawe wamesha tafuta nchi nyingine ya kujilinganisha nayo kwenye sekta zote za miundo mbinu. Sasa huku kwenye majengo marefu, tunawategemea nyie. Msituangushe the giants of East and Central Africa.
 
Kibano cha Wakenya hamjaanza leo na naona mtateseka sana muda mrefu, mlianza tangu enzi za mababu zenu na mpaka leo tunaendelea kuwapiga double double. Leo hii GDP yetu inaelekea kuwapiga double, mtasubiri sana.
Hapa nawapa list ile ile aliyowapa Teargas kwenye ule uzi mwingine mlioanzisha kama huu, alimaliza mchezo huko naona mumekuja kuibukia huku.
Haya hii list basi


Tallest buildings in Dar.
TPA -157m
PPF -152m
PPF -152m
MNF -145m
PSPF -134m.
Mzizima -133m.

Nairobi's tallest buildings.

Britam -200m
GTC - 184m
UAP -163m
GTC II - 145m
88 Nairobi - 145m (U/C)
Times Tower - 140m
CBK - 137m
Prism tower - 133m
GTC III - 133m
GTC IV -133m
Parliament tower - 126m
Le'mac tower - 125m
Teleposta - 120m
GTC V - 116m
 
Kibano cha Wakenya hamjaanza leo na naona mtateseka sana muda mrefu, mlianza tangu enzi za mababu zenu na mpaka leo tunaendelea kuwapiga double double. Leo hii GDP yetu inaelekea kuwapiga double, mtasubiri sana.
Hapa nawapa list ile ile aliyowapa Teargas kwenye ule uzi mwingine mlioanzisha kama huu, alimaliza mchezo huko naona mumekuja kuibukia huku.
Haya hii list basi


Tallest buildings in Dar.
TPA -157m
PPF -152m
PPF -152m
MNF -145m
PSPF -134m.
Mzizima -133m.

Nairobi's tallest buildings.

Britam -200m
GTC - 184m
UAP -163m
GTC II - 145m
88 Nairobi - 145m (U/C)
Times Tower - 140m
CBK - 137m
Prism tower - 133m
GTC III - 133m
GTC IV -133m
Parliament tower - 126m
Le'mac tower - 125m
Teleposta - 120m
GTC V - 116m
Mzizima 133m ?
PSPF 134 ?
What the hell is this ?
 
Ni swala la muda tuu....tukianza ujenzi mtahara....View attachment 1927780

Hilo la "sula la muda" limesemwa tangu enzi za mababu zenu, oooh! Kenya tutawafikia...ooh hawa Kenya hawana lolote tutawapata tu.....yaani haka Kakenya haka....hehehe!!!

Wazembe kama nyie ni wale wale tumewazoea na mpaka vizazi vijavyo haitokuja siku mnusie hata makalio yetu.
 
Back
Top Bottom