Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
PSSSF yakanusha tuhuma za Viongozi wake kujikopesha pesa za kujinunulia magari kinyume na taratibu.
Awali mnamo 16, Sep 2022 Sekretarieti ya Maadili ilitoa Taarifa ya kuwaita Viongozi hao kwenye kamati ya maadili na kuwahoji kwa kujikopesha pesa kinyume na Utaratibu, fungua kiungo kusoma taarifa zaidi Mkurugenzi PSSSF afikishwa mbele ya Baraza la Maadili
Pia soma:
Pia soma: