Too latePSSSF yakanusha tuhuma za Viongozi wake kujikopesha pesa za kujinunulia magari kinyume na taratibu.
Pia soma:
sasa kwa Mipawa wanakwenda kufanya nini?Nchi ngumu sana hii
STUPID INDEED....Endeleeni kula michango tu ipo siku atatokea kiongozi makini lazima patachimbika....PSSSF yakanusha tuhuma za Viongozi wake kujikopesha pesa za kujinunulia magari kinyume na taratibu.
Awali mnamo 16, Sep 2022 Sekretarieti ya Maadili ilitoa Taarifa ya kuwaita Viongozi hao kwenye kamati ya maadili na kuwahoji kwa kujikopesha pesa kinyume na Utaratibu, fungua kiungo kusoma taarifa zaidi Mkurugenzi PSSSF afikishwa mbele ya Baraza la Maadili
Pia soma:
Kuna jambo hawajaweka sawa.PSSSF yakanusha tuhuma za Viongozi wake kujikopesha pesa za kujinunulia magari kinyume na taratibu.
Awali mnamo 16, Sep 2022 Sekretarieti ya Maadili ilitoa Taarifa ya kuwaita Viongozi hao kwenye kamati ya maadili na kuwahoji kwa kujikopesha pesa kinyume na Utaratibu, fungua kiungo kusoma taarifa zaidi Mkurugenzi PSSSF afikishwa mbele ya Baraza la Maadili
Pia soma:
STUPID INDEED....Endeleeni kula michango tu ipo siku atatokea kiongozi makini lazima patachimbika....
Ni wajinga sana hawa wanakanusha taarifa ambazo ziko kwenye website ya baraza la maadili, halafu walivyo wajinga hawajui kama bandiko liko huko wanakuja na ngonjera,hawa wakurugenzi most of them walitoka ppf na Erio, na walifisadi ppf hadi ikataka kufa, wameenda psssf na kuwaondoa wakurugenzi walokuwa wa lpf,pspf na gepf wakajitwalia madaraka ili waendeleze ufisadi.PSSSF yakanusha tuhuma za Viongozi wake kujikopesha pesa za kujinunulia magari kinyume na taratibu.
Awali mnamo 16, Sep 2022 Sekretarieti ya Maadili ilitoa Taarifa ya kuwaita Viongozi hao kwenye kamati ya maadili na kuwahoji kwa kujikopesha pesa kinyume na Utaratibu, fungua kiungo kusoma taarifa zaidi Mkurugenzi PSSSF afikishwa mbele ya Baraza la Maadili
Pia soma:
Hata hivyo, ushahidi kutoka Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) unaonyesha kuwa gari alilonunua Bw. Chawe lenye nambari za usajili T607DTQ lilisajiliwa kwa mara ya kwanza na mamlaka hiyo tarehe 12/6/2020 na mmiliki wake wa kwanza ni Bw. Kipemka Msemembo Musa.PSSSF yakanusha tuhuma za Viongozi wake kujikopesha pesa za kujinunulia magari kinyume na taratibu.
Awali mnamo 16, Sep 2022 Sekretarieti ya Maadili ilitoa Taarifa ya kuwaita Viongozi hao kwenye kamati ya maadili na kuwahoji kwa kujikopesha pesa kinyume na Utaratibu, fungua kiungo kusoma taarifa zaidi Mkurugenzi PSSSF afikishwa mbele ya Baraza la Maadili
Pia soma:
Hayo maelezo wangeenda kuyatoa kwenye hizo mahakama zao za mchongo.PSSSF yakanusha tuhuma za Viongozi wake kujikopesha pesa za kujinunulia magari kinyume na taratibu.
Awali mnamo 16, Sep 2022 Sekretarieti ya Maadili ilitoa Taarifa ya kuwaita Viongozi hao kwenye kamati ya maadili na kuwahoji kwa kujikopesha pesa kinyume na Utaratibu, fungua kiungo kusoma taarifa zaidi Mkurugenzi PSSSF afikishwa mbele ya Baraza la Maadili
Pia soma: