Strictly Syrup
JF-Expert Member
- Aug 4, 2013
- 1,227
- 1,818
Swali zuri kaka, na Mimi nangoja majibu.Mkuu ,hapa panahitaji msaada kwa sababu walio athirika ni wengi.Ipi ni njia sahihi na salama ya kuondoa athari kwa Mtu alie tumia mmea (Bangi) kwa muda mrefu !?.
Msaa mwingine; kwa wale ambao bado wana endelea kutumia hii kitu una wassaidiaje ili kupunguza athari zaidi !?.
Wanasema kinacho muua Mtu ni kile akipendacho ,unapo maliza kuvuta utumie nini kupunguza Sumu !?.
Nna tangulisha Shukrani Mkuu Mk54
Mkuu mimi kuna hali huwa inanitokea, na haikutokea mwanzo kipindi naanza kutumia mjani.Hongera sana FEAR ZONE ndio the Real Devil [emoji49]. Yaani ukiweza kuelewa kwamba there is no reason to be afraid, umefaulu.
Kwa Sababu Fear Zone ni mbegu iliyopandwa since day one ya childhood yetu. Ndio maana it is so hard kuondoa fear ya Mtu.
Imagine unaanza kumwambia mtoto sijui ukifa Mungu ataenda kukuchoma moto,utaenda kuteswa kaburini na malaika 70 . Sijui utachomwa moto. So ile creativity ya mtoto out of fear inakuwa imeshauliwa.
Na maisha yake yote ataishi kwa muktadha wa uoga. Hata Zone ya kujifunza hatoisogelea.
Kauli yake mbiu ni umekuja kuabudu. Hivyo elimu yako ni kuabudu tu
Elimu nyingine yoyote ataona inataka kumtoa kwenye maisha ya uzima. Matokeo yake anaishi the whole life akiamini kuishi hivo ndio kutamfanya aingie Uzima.
, anasahau kwamba so many people died ili leo hii yeye kujua dose halisi ya magnisum Sulfate Injection kwa mama mwenye kichaa cha mimba( Eclampsia) , so many people died kupata dose ya Oxytocin ( maji ya uchungu) , so many people died to establish epidural dose ili mama azae kwa upasuaji vyema etc etc . Hizi zote ni knowledge out of fear and comfort zone.
Watoto wako usiwafundishe uoga. Teach them to question, to conform, to believe in themselves to learn as much
As they can .
Tell them kwamba wamekuja kuimilika hii dunia, dunia bila ya wao bado haijakamilika na ndio maana wapo duniani.
Aidha, bila elimu na Maarifa ya elimu out of fear huwezi kumiliki dunia . They should never be caged bird [emoji1659] . Let them be .
Uoga ndio umetufikisha hapa kama Taifa.
Uoga ni real devil , hata kama umesoma for as long as upo kwenye zone
Ya uoga, ni katika uhalisia huo maisha yako yatakuwa ni KISANGA
Great things are never easy; great things hufanywa out of fear. Great things hufanywa kwenye zone ya Learning na Growth !
View attachment 1712302
Ukisikia Machale ndio hayo Hapo machalee yamekucheza mkuuMkuu mimi kuna hali huwa inanitokea, na haikutokea mwanzo kipindi naanza kutumia mjani.
Kuna kipindi nafikiria jambo ambalo halijatokea bado, lakini naamua kupuuzia. Then siku chache baadaye, jambo hilo linatokea mpaka huwa nashangaa.
Hebu fanya tuzipateDiamond Platinum Nasibu Abdul Juma
Hua anatumia hizi Drugs anapotunga mashahili yake anapofanya Record za Nyimbo zakee
Pia anapopanda kwenye Stages kupiga Show
All all Disition zake anakua Yuko na Stimulation
For my research Kwasababu but sijasibitisha anatumia Drugs Aina gani Marijuana or what
cc Mshana Jr
Yawezekana mkuu, kwa sababu mpaka sometimes nikikiria kitu napatwa na wasiwasi isjekuwa ndiyo kufunuliwa mambo yajayo.Ukisikia Machale ndio hayo Hapo machalee yamekucheza mkuu
Vijana wataona maono na kuota ndoto Mshana Jr atanisaidia mstari hapoYawezekana mkuu, kwa sababu mpaka sometimes nikikiria kitu napatwa na wasiwasi isjekuwa ndiyo kufunuliwa mambo yajayo.
Mkuu hizi sio fix kwelii 😂😂.Tipic ni nzuri mkuu na pia umenikumbusha kisa cha bondia mike tyson alipotumia psychedelics katika safari yake ya spiritual awakening akajikuta kageuka kuwa chura na anongeea na chura hahaha anasimulia aliogopa sana pale dawa ilipoanza kufanya kazi kiasi cha kutamani iishe mwilini. Upatika aji wa hizo dawa hapa Tz upoje? Kama unafahamu
Brother na wewe ni hazina inayotembea.Ha ha. Umenikumbusha mbali. Mara ya kwanza kutumia DMT Yaani Ayahuasca. Nililia sana. Nikaona sijawahi kujitendea haki. Sijawahi kuwatendea haki binadamu wengi. Nikaona nilikuwa na EGO kubwa. Niliomba sana msamaha. I forgave my self and others.
Baadae nikaoneshwa kifo changu. Nikawa siamini. Nikahisi Muda wangu nimeutumia vibaya, nime poteza opportunities nyingi kwa uoga.
Guide wangu alipoona naanza kupata hizo effect , akawa anani guide , yaani nikaanza ku Transcendent Beyond the doubt and odds. Mwisho akanileta kwenye Sky, moon and starts; Aisee, nikasema kweli the world has a lot ambayo our naked eyes can not have that glimpse. Nilifanikiwa kuona the glimpse of life itself.
Niliona mambo ambayo i cannot menton here. Baadae ninakumbuka sipaswi kuipoteza hii chance. Nikaomba pen na Karatasi. Kwa kweli my life from that point , I became a new being. It is hard to stay mad.
Hard to explain.
Umemaliza mkuu!!It is true; kwa mfano pia, Creativity ya Pharmaceuticals Industry and Medicine Researchers wanategemea sana Hii mimea.
-
Yaani mtu astue kwanza, apate ile Transcendence ndiyo awaze nini cha kufanya. Baadae Mtu anakuja na majibu na kama ni Dawa atakwambia tufanye hivi hii dawa itatibu : na kweli inatibu ; ukimuuliza inafanye kazi vipi?! Atakwambia sijui. Kwasababu wanapata majibu wakiwa kwenye Transcendance Mode. Sasa wakirudi Kwenye Normal Mode, hawezi kupata Majibu. Unless other researchers waje kufanyia kazi ile idea yake na kuitengeneza kisayansi zaidi.
Ndiyo ile unasikia dawa hii inatibu ugonjwa fulani but mechanism is unknown.
Hollywood wengi wanatoa idea za move za kufa mtu wakistua na psychedelic substance. Nyimbo nyingi za kina The Beatles, Bob Marley na wengine ili waandike mashairi ambayo ni more meaningful and spiritual ni lazima kwanza wa transcendent beyond their minds limit.
-
Na hii ndio Sababu nyimbo zao mpaka leo leo still makes sense to this life.
-
The song like Redemption, unaona kabisa Bob was out of his body. The Movie like The Wizard Oz, it has a lot of hidden message juu ya hizi Psychedelic.
The Movie like American Beauty.
-
Siri kubwa ya Steve Jobs, ipo kwenye Psychedelic. Alisafiri hadi India, under spiritual guidance, Job contacted DMT and LSD as a natural plant. He also learned about the Power Within.
-
It is so fascinating
-
Hawa Spirutual Teachers , kama mapadri, wachungaji wenye nguvu, psychedelics ndio siri yao kubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona ziko exposed sasa tambua wenzetu tayari wameshagundua kitu kipya lakini sio mbaya bado tunazihitajiUmemaliza mkuu!!
Ni vile hizi knowledge zinafichwa sana ndani ya jamii zetu. But to be creative, lazima uwe kwenye transcendence..
Kama vile invention ya lugha ilivo play a huge role kwenye civilization ya binadamu , naamini pia Psychedelic drugs zitaplay a huge role kwenye hii modern civilization. Watu wanahitaji guidance tu on how to use them!!
Ngoja nianze bangi leo
Very unlikelyHapana ,usifanye hivyo maana hauwezijua breki zako zita shikia wapi.Inaweza kukupeleka kwenda next level tukakukosa.Kuna Watu walikuwa wakitumwa kuwasha Sigara leo ndio zime waua.Achana na hiyo mambo Mkuu.
Mkuu ,hapa panahitaji msaada kwa sababu walio athirika ni wengi.Ipi ni njia sahihi na salama ya kuondoa athari kwa Mtu alie tumia mmea (Bangi) kwa muda mrefu !?.
Msaada mwingine; kwa wale ambao bado wana endelea kutumia hii kitu una wassaidiaje ili kupunguza athari zaidi !?.
Wanasema kinacho muua Mtu ni kile akipendacho ,unapo maliza kuvuta utumie nini kupunguza Sumu !?.
Nna tangulisha Shukrani Mkuu Mk54
Mkuu ,hapa panahitaji msaada kwa sababu walio athirika ni wengi.Ipi ni njia sahihi na salama ya kuondoa athari kwa Mtu alie tumia mmea (Bangi) kwa muda mrefu !?.
Msaada mwingine; kwa wale ambao bado wana endelea kutumia hii kitu una wassaidiaje ili kupunguza athari zaidi !?.
Wanasema kinacho muua Mtu ni kile akipendacho ,unapo maliza kuvuta utumie nini kupunguza Sumu !?.
Nna tangulisha Shukrani Mkuu Mk54
Jamaa analikua anataka andika kitabu, amekwama na watu wanasubiria, jamaa yake ndio akampa akamwambia this might help, from there maisha ya mchizi yalibadrika kabisa, kuna sehemu alisema i was blind but now i can see yaaani iyo pill ni version na mada hii kabisaView attachment 1713134View attachment 1713135