Iamwhoiamm
JF-Expert Member
- Oct 18, 2022
- 503
- 887
SAIKOLOJIA ya wanawake iko clear hesitating in this video don't be a beta become alpha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha kabisa yaanWanawake kama elimu tu, elimu ni bahari
Very nice message.Hukumu na hasira ya Mungu IPO juu ya watenda dhambi tubuni na kuacha dhambi na kumrejea Mungu wenu kabla hazijafika siku Mbaya.Muda ni mchache Sana kuendelea kuwaza, kuwawazua na kuwachambua wanawake.Hamna muda kabisa muda umeisha mwanamke HaweZi kusaidia kukupeleka peponi.Waza Mungu siku nzima ACHA kuwaza wanawake siku nzima maana chochote unachokipa muda na mawazo Yako zaidi ya Mungu kinakuwa mungu mwingine kwako.Usiabudu miungu mingine (Wanawake).Wacha waendelee na ghasia Yao ya uzinzi wewe endelea kumsifu Bwana.Jiandae na maisha baada ya kifo muda umebaki mchache Sana.
Hukumu na hasira ya Mungu IPO juu ya watenda dhambi tubuni na kuacha dhambi na kumrejea Mungu wenu kabla hazijafika siku Mbaya.Muda ni mchache Sana kuendelea kuwaza, kuwawazua na kuwachambua wanawake.Hamna muda kabisa muda umeisha mwanamke HaweZi kusaidia kukupeleka peponi.Waza Mungu siku nzima ACHA kuwaza wanawake siku nzima maana chochote unachokipa muda na mawazo Yako zaidi ya Mungu kinakuwa mungu mwingine kwako.Usiabudu miungu mingine (Wanawake).Wacha waendelee na ghasia Yao ya uzinzi wewe endelea kumsifu Bwana.Jiandae na maisha baada ya kifo muda umebaki mchache Sana.
Are you toxic woman or submissive one?Very nice message.
Maybe this question should be thrown to my keeper, my man, my husband. Obvious hakuna mwanamke ukimpa hii swali atakujibu yeye ni toxic.Hahah
Are you toxic woman or submissive one?
Wanawake this, wanawake that.
Mbona mnatuwaza sana?
Mbona wanawake hatuwaandiki andiki nyie kwanini hamuwezi kupoa bila kututaja?
Ni kwa sababu tunataka tuwe tunawala kimasihara.Wanawake this, wanawake that.
Mbona mnatuwaza sana?
Mbona wanawake hatuwaandiki andiki nyie kwanini hamuwezi kupoa bila kututaja?
We jamaa hii comment yako sio mara moja naiona,,,kama kuna dalili zozote zinaonekana kama enzi za kina nuhu,,hemu tusituane bwa shekh.Hukumu na hasira ya Mungu IPO juu ya watenda dhambi tubuni na kuacha dhambi na kumrejea Mungu wenu kabla hazijafika siku Mbaya.Muda ni mchache Sana kuendelea kuwaza, kuwawazua na kuwachambua wanawake.Hamna muda kabisa muda umeisha mwanamke HaweZi kusaidia kukupeleka peponi.Waza Mungu siku nzima ACHA kuwaza wanawake siku nzima maana chochote unachokipa muda na mawazo Yako zaidi ya Mungu kinakuwa mungu mwingine kwako.Usiabudu miungu mingine (Wanawake).Wacha waendelee na ghasia Yao ya uzinzi wewe endelea kumsifu Bwana.Jiandae na maisha baada ya kifo muda umebaki mchache Sana.