Psychology of knowing a woman - Darius M, UTuber

Psychology of knowing a woman - Darius M, UTuber

Hukumu na hasira ya Mungu IPO juu ya watenda dhambi tubuni na kuacha dhambi na kumrejea Mungu wenu kabla hazijafika siku Mbaya.Muda ni mchache Sana kuendelea kuwaza, kuwawazua na kuwachambua wanawake.Hamna muda kabisa muda umeisha mwanamke HaweZi kusaidia kukupeleka peponi.Waza Mungu siku nzima ACHA kuwaza wanawake siku nzima maana chochote unachokipa muda na mawazo Yako zaidi ya Mungu kinakuwa mungu mwingine kwako.Usiabudu miungu mingine (Wanawake).Wacha waendelee na ghasia Yao ya uzinzi wewe endelea kumsifu Bwana.Jiandae na maisha baada ya kifo muda umebaki mchache Sana.
 
Hukumu na hasira ya Mungu IPO juu ya watenda dhambi tubuni na kuacha dhambi na kumrejea Mungu wenu kabla hazijafika siku Mbaya.Muda ni mchache Sana kuendelea kuwaza, kuwawazua na kuwachambua wanawake.Hamna muda kabisa muda umeisha mwanamke HaweZi kusaidia kukupeleka peponi.Waza Mungu siku nzima ACHA kuwaza wanawake siku nzima maana chochote unachokipa muda na mawazo Yako zaidi ya Mungu kinakuwa mungu mwingine kwako.Usiabudu miungu mingine (Wanawake).Wacha waendelee na ghasia Yao ya uzinzi wewe endelea kumsifu Bwana.Jiandae na maisha baada ya kifo muda umebaki mchache Sana.
Very nice message.
 
Mbona wao wanajadili WANAUME sana acha knowledge and skills of
Hukumu na hasira ya Mungu IPO juu ya watenda dhambi tubuni na kuacha dhambi na kumrejea Mungu wenu kabla hazijafika siku Mbaya.Muda ni mchache Sana kuendelea kuwaza, kuwawazua na kuwachambua wanawake.Hamna muda kabisa muda umeisha mwanamke HaweZi kusaidia kukupeleka peponi.Waza Mungu siku nzima ACHA kuwaza wanawake siku nzima maana chochote unachokipa muda na mawazo Yako zaidi ya Mungu kinakuwa mungu mwingine kwako.Usiabudu miungu mingine (Wanawake).Wacha waendelee na ghasia Yao ya uzinzi wewe endelea kumsifu Bwana.Jiandae na maisha baada ya kifo muda umebaki mchache Sana.
 
Ayo ya Kwny video
Ungeyaandika hapa ingeleta maana zaidi
 
Hukumu na hasira ya Mungu IPO juu ya watenda dhambi tubuni na kuacha dhambi na kumrejea Mungu wenu kabla hazijafika siku Mbaya.Muda ni mchache Sana kuendelea kuwaza, kuwawazua na kuwachambua wanawake.Hamna muda kabisa muda umeisha mwanamke HaweZi kusaidia kukupeleka peponi.Waza Mungu siku nzima ACHA kuwaza wanawake siku nzima maana chochote unachokipa muda na mawazo Yako zaidi ya Mungu kinakuwa mungu mwingine kwako.Usiabudu miungu mingine (Wanawake).Wacha waendelee na ghasia Yao ya uzinzi wewe endelea kumsifu Bwana.Jiandae na maisha baada ya kifo muda umebaki mchache Sana.
We jamaa hii comment yako sio mara moja naiona,,,kama kuna dalili zozote zinaonekana kama enzi za kina nuhu,,hemu tusituane bwa shekh.
 
Back
Top Bottom