PUBLIC NOTICE: TRA has enhanced its website to align with current technological advancements

PUBLIC NOTICE: TRA has enhanced its website to align with current technological advancements

TRA Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
128
Reaction score
370
WEBSITE ENGLISH.jpeg
 
Muwe mnatumia kiswahili kuwashawishi ata wageni kujifunza kila andiko mna andika english mpaka barua mna andika english tumieni kiswahili lugha mama
 
Muwe mnatumia kiswahili kuwashawishi ata wageni kujifunza kila andiko mna andika english mpaka barua mna andika english tumieni kiswahili lugha mama
Kuna Watanzania hawapendi Kingereza jamani.

Kwa nini hampendi hii lugha ambayo hata nguli na mpenzi wa Kiswahili Alhaji Ali Hassan Mwinyi alisema ni "Kiswahili cha dunia" ?
 
Hii inawahusu wateja wenu wanaojua kiinglishi, sie wamatumbi haituhusu , sio!!!
acha upimbi wewe umeangalia uzi wote kuna ufafanuzi hapo umewekwa kuwa hii wamewekewa wale ambao hawajui kiswahili na hapo chini kaweka link kuwa lipo pia kwa kiswahili. Shida tunapenda sana kukosoa hii website tukumbuke kuna wawekezaji ambao hawajui kiswahili na nawanhitaji kupata taarifa za kutoka kwa zakayo sasa kama wewe kiswahili kina unakujua wameweka la kiswahili na kwa hao wenzetu lipo pia la kizungu ambalo ndiyo hili. Wangeweka yote mawili nayo naona ingekuwa shida kichwa cha habari wangetumia lugha ipi. Niwapongeze tra kwa kuonyesha pia kuwa mnajali wawekezaji wasiojua lugha ya kiswahili ili nao walipe kodi wasiwe na na sababu ya kusema hawajui taratibu sababu ya lugha.
 
Fuckinq pathetic. Taasisi ya umma inatoa tangazo kwa raia kwa lugha ya kiingereza.

Hamna akili kabisa hapo kwenye taasisi wote??
acha kutukana bila fanya tafiti wewe. unajua walipa kodi wapo wanaojua kiswahili na wapo wasiojua kiswahili. sasa ulitaka kitumike kiswahili pekee? mbona wamesema pia lipo la kiswahili na hapo nimeona ufafanuzi mzuri na link ya kwenda kiswahili pia wameweka? sasa umeona limewekwa kwa kizungu ulikuwa unasoma la nini ? kiherehere tu
 
Tangazo halina maelezo unapost picha tu, haya bhana mtoto wa kigogo hongera kwa kupewa kazi kwa kupigiwa pande
mzee unaumia yaani mbona tangazo limejieleza . Sasa ulitaka maelezo yapi tena hapo wakati lipo wazi kabisa sema kizungu kimekupiga chenga fata hiyo link waliyoweka upate la kiswahili utaelewa tu
 
Back
Top Bottom