Public Transport Dar es salaam vs Nairobi

Usipojiheshimu hakuna atakayekuheshimu hata mimi nimekudharau
 
Ni kweli usafiri wa nairobi watu hawasimami wala hawabanani ndani ya gari kabisa as the matter of fact you can see how they are enjoying white-collar transfer.
 

Hivi mwenyekiti wenu amepewa tuzo yake ya Forbes?
 
Mpumbavu unadhani wewe una akili kuliko wote walio kimya, hii ni Nchi yetu huna haki ya kituma utumacho kwenye mada husika kama huwezi kuwa na hoja kaa kimya!!! C. H. O. K. O.
 
Wewe ndio kabisa akili zako za kitumbili kabisa. Sasa kitu gani huelewi hapo?
Usafiri wa dsm sio rafiki . Nyani tu ndio atashindwa ama atatumia nguvu nyingi kunielewa.
Huko gongo la mboto uliko wahi ishi wewe au mbagala ni wapi mkuu? Au una hulka tu ya kusifia vya watu.
 
TUPIGE KAZI KAMA RAISI ANAVYOSEMA. kushindanisha mambo sio mpango, MPANGO NI HAPA KAZI TU. TUFIKE MBALI KIMAENDELEO
 
...kipimo cha busara ni pamoja na maneno yanayotoka mdomoni....heshimianeni.
 
Kha!!! Umeelewa tunaongelea nini lakini?
 

Ni kweli usafiri wa nairobi watu hawasimami wala hawabanani ndani ya gari kabisa as the matter of fact you can see how they are enjoying white-collar transfer.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…