Hapa UBUNGO naomba unitajie kampuni au gari lenye Stika ya Luxuary ni ipi?Ni kweli usafiri wa nairobi watu hawasimami wala hawabanani ndani ya gari kabisa as the matter of fact you can see how they are enjoying white-collar transfer.
Wewe leta usafiri wa kwenu huko Nairobi.
Tatizo ni nini bana!!!?
Hilo ndilo povu sasa tunalolitaka.Sasa umegeuka tena...si hapo juu umesema "Kejeri"whatever that means,vijembe na kutoa povu yaruhusiwa??"...Tulia kaka dawa ikuingie........And are you really schooled???If you can't differentiate in writing a word like "Kejeli" from your mother tongue "Kejeri"....Is there need for you to discuss big topics??????Just asking .
Sasa si uweke wewe sasa!!? Mbona povu tuuu linakutoka.chongchung, Lemme give you a snapshot of how old your pics are.
The latest number plate kwa picha iliotupa ni KAT. KAT ina numbers 001 to 999. Kila number ina letters A-Z (26) kwa hivyo magari ya KAT pekee ni 999×26= 25,974. Saa hii magari yako KBV, 28 letters away kwa hivyo magari 25974×28= 727,272 yamepita tangu hizo picha. With an average of 50,000 new car sales per annum, 727272÷50000= 14, hizo picha ni za around 14yrs ago.
In brief, ni picha za Nairobi transportation za 2002-2003, wakati wa Kibaki na Michuki walinganisha na picha za dar transportation in 2016. Weka tu za dar, hakuna mkenya amekuomba uwakilishe mambo ya Kenya
Sasa si uweke wewe sasa!!? Mbona povu tuuu linakutoka.
Toa proofs
We si kiazi tu.Usipojiheshimu hakuna atakayekuheshimu hata mimi nimekudharau
Wewe jamaa akili zako ndogo sanaaa kama piritoni.Hilo ndilo povu sasa tunalolitaka.
Hahaha!!! Najua mmefyata mkia. Hamuwezi kujitokeza mmejificha kwenye mashimo kama panya akiona paka.
Wamebaki watanzania ambao hawajafika Nairobi wakiwasifia. Lakini ninyi mnajua ukweli
Hahahahaha kwikwikwikwi!!!
Nyie kenya ni wadogo zetu tu. Umeona lakini vitu nilivyotupia? Hahahahaha!!!
Kila post yako ina neno povu, kwani hauna lingine la kusema.Sasa si uweke wewe sasa!!? Mbona povu tuuu linakutoka.
Toa proofs
Kwahiyo akili zako ni kubwa kama boga au akili zako ni kubwa kama ubwabwa kwenye sahani sio?Wewe jamaa akili zako ndogo sanaaa kama piritoni.
Mimi ni mtz ila siwezi kujidanganya kwa kushabikia kitu ambacho hakina ukweli.
Hapa unadanganya ukitoka tu njeu ukienda BRT kimara unakaa lisaa unangoja basi lije.
Nikikuita nyani unalia lia hapa na matusi juu.
Akili zako ndogo sana.. Achana na porojo bro
Sasa unaongelea human errors na interest za mtu!!!Kila post yako ina neno povu, kwani hauna lingine la kusema.
Hauja soma post ndio maana unabweka tu, isome utaona proof unayolilia. Kisha usiwe wa kuzoea kuangalia yale yamewekwa kwa blogs and sites by human beings, man is to error na kila mtu ana egemeo lake. Personal experience is more important na wenzako walioexperience the 2 washakueleza kinaga ubaga mbivu na mbichi, ingawa by world standards zote mbovu.
Mkenya akikuonyesha utasema ajigamba kwa hivyo twakimya tu.
Wewe jamaa pimbi sana..Kwahiyo akili zako ni kubwa kama boga au akili zako ni kubwa kama ubwabwa kwenye sahani sio?
Tatizo lako umekuja kwa shari na umeshindwa hata kuelewa mada inaongelea nini.
Full kutoa mapovu tuuu!! Sijui umekula maharage ya wap!!!?
Ngoja nikuelimishe dogo!!
Usiwe unakurupuka tu kabla ya kusoma uzi unaongelea nini. Ni vyema ukausoma na kuelewa kisha una comment. Utaonekana mwehu!!!
Tunaongelea usafiri uliopo kwenye majiji haya mawili yaani dar na nairobi. Kwa faida ya wale wanaosafiri.
Wewe unakuja kutoa mapovu hapa. Kama umegombana huko hasira zako ziishie huko huko.
Kwikwikwi naona unazidi kuonesha namna gani ulivyo mwehu.Wewe jamaa pimbi sana..
Mada ulivyoileta umeileta kiushabiki kuaminisha watu kuwa dsm ni bora kuliko Nairobi.
Ukiwa hujui kuwa Kenya wako mbali sana kulinganisha na usafiri.. Miundombinunipo ila usimamizi ni ziro
Nairobi ipi unaizungumzia mbona nairobi nimekaa ni tabu tupu usafiri wao wanayo vifodi (watu wa Arusha wanaelewa vifodi ni vile vigari vifupi mtu mrefu ukiingia lazima uiname sio super roof) na kushangaa unasifia usafiri wa nairobi wakati WENYEJI WA nairobi wanausifia usafiri wa mwendokasi Dar.We si kiazi tu.
Mtu akikupinga kwa hoja maana yake hajiheshimu?
Acha porojo na mipasho.Kwikwikwi naona unazidi kuonesha namna gani ulivyo mwehu.
Mara nyingi mimi ni daktari wa wehu kama wewe nitakutibu tu taratibu. Na baada ya kukupa dozi yako akili zitarudi kichwani.
Wewe leta evidences za huko kwenu kenya. Mbona kitu simple mbona una bwabwaja tuu kama upo mirembe.
Acha uvivu wa kufikiri na ushamba unasema nairobi magari yao yupo luxury yanayo TV kwani mwendokasi hakuna TV mle ndani mpaka na camera ukiingia ndani unapewa mpaka na muda utakaotumia kufika your destination kuna alert kwa kila bus stop automatically na unapewa jina la the current and next bus stop huo uluxury wa matatu kwa mwendokasi unatokea wapi?Wewe jamaa pimbi sana..
Mada ulivyoileta umeileta kiushabiki kuaminisha watu kuwa dsm ni bora kuliko Nairobi.
Ukiwa hujui kuwa Kenya wako mbali sana kulinganisha na usafiri.. Miundombinunipo ila usimamizi ni ziro
Achana nae me mwenyewe nimempuuza nairobi haipo mwezini aseme hatuijui mpaka kesho bado zipo scrapers mjini nairobi zinabeba watu.Sasa si uweke wewe sasa!!? Mbona povu tuuu linakutoka.
Toa proofs