maisha lazima yaendelee.atleast akija mgeni atajionea namna huruma imetumika kwa wasakatonge wote.Tanzania tatizo kubwa ni siasa za kujipendeleza kwa wapiga kura.
Mfano kituo cha mbezi mwisho utadhani dampo kwa sasa.
hii haiondoi ukweli kwamba hizo buses ni nzuri na zimekaa kistaarabu.Hayo mabasi ya mwendo kasi ukiyaona kwa video za kwenye Youtube au mapicha yanatamanisha na kupendeza, ila sasa wahoji wakaazi wa Dar wanao yategemea ndio upate mziki wa kero zake.
Kwa uzoefu wangu wa kuishi miji yote miwili tena kwa muda mrefu, yaani tu pamoja na kero za matatu/daladala zetu hapa Nairobi ila zipo nafuu kwa mbali sana ukilinganisha na kero za Dar.
hii haiondoi ukweli kwamba hizo buses ni nzuri na zimekaa kistaarabu.
Kanunue gari lako uache kupanda matatu!Mie ni mkenya lakini matatu ni UCHAFU UCHAFU UCHAFU.
Ipo siku tutanusurika na hili janga na uchafu.
Nimeitembelea Dubai, Saudi Arabia, Cairo, Kuwait City, Doha hata Baghdad wala hamna machafuko na uchafu huu unaoitwa matatu.
So ghettoish so classless, big international cities should have clean, quiet, orderly, uniformly and timely transportation.
Kwa kweli huwa sizipendi hizi, graffiti, kelele, touts, reckless driving. Hizi ziruhusiwe kule ghetto sijui Kariobangi zisije katikati mwa jiji abadan.
Imagine Uperhill sijui Westlands business district na ughetto kama huu wapi na wapi?
Jamani wakenya tuache kusifia uchafu na macahafuko kama haya,inaelekea akili zetu zipo na kasoro.
Hivi sasa serikali ipo kwenye hatua za mwisho kuzipiga ban jijini, najiskia raha....kudadadekiii.Kanunue gari lako uache kupanda matatu!
✌️
Bado zitakuwepo leo kesho na hata milele, 🤣🤣🤣 Alafu hivi wee wa wapi coz matatu nazozijua mimi huwa safi sana na zimesukwa hatarii ndani hadi inje? Hivi matatu zenyu hamzioshi ndio maana unalalama hapo ilhali hata taxi huwezi gharamikia. Wacha vijana wafanye kazi mkulu, uzaskira uwe!?Hivi sasa serikali ipo kwenye hatua za mwisho kuzipiga ban jijini, najiskia raha....kudadadekiii.