Puljini kumkataa Kamara si tatizo ila

wakimataifa.

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
1,625
Reaction score
558
namtahadharisha puljin awe mkweli katika usajili wake isiwe hamtaki kwa sababu hajamleta yeye kwa maana anataka kuleta wake iwe wazuri mara mia ya kamara asivimbe kichwa kwa kuchukua ubingwa kwani mara ya kwanza si alishindwa hata mwaka huu angeshindwa kama si juhudi za wanachama wa yanga hasa wa dodoma
 
wewe ulitakaje ,kwani hujui timu ikiboronga ni yeye anayewajibika .
 
anataka kuleta hadithi za kondic alileta waghana wakashindwa kucheza mpira
 
Kamara ni bonge la mchezaji.. Aveva na timu yako, hebu tuleteeni hilo jembe msimbazi lizibe pengo la Mkude ambaye wasauzi lazima wamng'ang'anie.
 
Hao ndio wabongo, mwacheni kocha afanye yake.
 
Kamara ni nani?Pluijm ni nani?wamefanyaje?

Unaandika as if kila m2 humu anaelewa au amesikua hiko kitu...upimbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…