pumbu kupotea

Tupa Tupa

Senior Member
Joined
Jun 2, 2019
Posts
140
Reaction score
107
Habari wakuu,

Nawashirikisha tatizo langu, nawaomba ushauri wenu nimejigundua makende yangu yanapotea nikikagua kama moja inajisaga saga na nyingine inazidi kuwa ndogo lakini sina maumivu yoyote, na kila baada siku zinavyokwenda naona mambo yanazidi kwenda ndivyo sivyo

Ushauri wenu tafadhali nifanye nini na huu ugonjwa unaitwaje na nitafute dawa gani ?

Asanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…