Pumzi kukataa hatimaye kukosa nguvu na kupata kizunguzungu na kushindwa kupumua

KAMINYINGE

Member
Joined
Mar 8, 2013
Posts
64
Reaction score
7
Habari za kaz wakuu! Hali hii imenitokea leo asubuh kama saa3 hivi nilikuwa na kabaiskeli kakamongo nimepanda mlima kidogo tu nikaona pumzi inakata kifua kizito,kukosa nguvu nikapumnzika kando na kuendele na safar kwa tabu sana hapa nn tatizo? msada
 
Wahi hospitali kapime kiwango chako cha damu mkuu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…