Huyo Mzee ni Mstaafu (82) alikuwa anaishi Ukonga stakishari, mie ni mjomba wangu na yeye ndiyo alikuwa Mzee wa familia kwa ukoo wa Majebele kwahiyo kila jambo mfano, harusi, misiba nk lazima ash.
Ndugu na jamaa walichanga kwenye msiba mpaka kamati ikataka kusitisha zoezi la kupokea rambirambi, hakika watu walijitoa sana.
Changamoto ilikuwa wapi azikwe, wengi wana ndugu walipendekeza Kinondoni na hata kamati ilipendekeza Kinondoni ila kutokana na jinsi alivyokuwa anaishi vizuri jamii ya kule pamoja na Kanisa la mt. Thadei waliomba azikwe jirani basi familia ikakubali kumzika kwenye makaburi ya Kinyerezi Zimbili.
Hiyo yote kuonyesha jinsi gani mzee wetu alivyokuwa anakubalika kwenye jamii licha ya kutokuwa na utajiri wa mali na pesa. hakika nimejifunza mengi kwenye huu msiba wa mzee wetu.
Pole sana kwa familia na shukran kwa waliojitoa.
Pumzika kwa amani Mzee Shigella
Ndugu na jamaa walichanga kwenye msiba mpaka kamati ikataka kusitisha zoezi la kupokea rambirambi, hakika watu walijitoa sana.
Changamoto ilikuwa wapi azikwe, wengi wana ndugu walipendekeza Kinondoni na hata kamati ilipendekeza Kinondoni ila kutokana na jinsi alivyokuwa anaishi vizuri jamii ya kule pamoja na Kanisa la mt. Thadei waliomba azikwe jirani basi familia ikakubali kumzika kwenye makaburi ya Kinyerezi Zimbili.
Hiyo yote kuonyesha jinsi gani mzee wetu alivyokuwa anakubalika kwenye jamii licha ya kutokuwa na utajiri wa mali na pesa. hakika nimejifunza mengi kwenye huu msiba wa mzee wetu.
Pole sana kwa familia na shukran kwa waliojitoa.
Pumzika kwa amani Mzee Shigella