Maneno sio mengi sana.
Napenda kutoa pole za dhati kwa familia kwanza ya Musoma Food, ndugu, jamaa na marafiki, kwa kumpoteza mfanyabiashara huyu mkubwa wa nafaka kanda ya ziwa na pengine Tanzania.
Pole ziwafikie pia wafanyakazi wa kampuni ya Musoma Food kwa kuondokewa na bosi wenu ambae aliishi nanyi kama familia.
Hakika ni msiba mkubwa sana kuanzia kote alikokuwa akinunua mazao ikiwamo nchi za Zambia, Uganda, na mikoa karibu yote Tanzania, maana kampuni ilikuwa inafika bei bila tatizo hata kulipotokea ushindani wa wanunuzi wa nje bado alitoa bei nzuri sana ya mazao kama mpunga, mahindi, mtama na kadhalika.
Pumzika kwa amani Side.
R.I.P
Napenda kutoa pole za dhati kwa familia kwanza ya Musoma Food, ndugu, jamaa na marafiki, kwa kumpoteza mfanyabiashara huyu mkubwa wa nafaka kanda ya ziwa na pengine Tanzania.
Pole ziwafikie pia wafanyakazi wa kampuni ya Musoma Food kwa kuondokewa na bosi wenu ambae aliishi nanyi kama familia.
Hakika ni msiba mkubwa sana kuanzia kote alikokuwa akinunua mazao ikiwamo nchi za Zambia, Uganda, na mikoa karibu yote Tanzania, maana kampuni ilikuwa inafika bei bila tatizo hata kulipotokea ushindani wa wanunuzi wa nje bado alitoa bei nzuri sana ya mazao kama mpunga, mahindi, mtama na kadhalika.
Pumzika kwa amani Side.
R.I.P