TANZIA Pumzika salama Bill Mushi wa Kingdom Bussiness Arusha

Tanzanite klm

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
478
Reaction score
408
Kwa wale wakaazi wa Arusha bila shaka maeneo ya mjini mtakuwa mnamkumbuka mwalimu Bill Mushi ambaye alikuwa akifundisha sana masuala ya Muda na Ujasiriamali, hasa maeneo ya Stand ya Mkoa na Mianzini akiwa na ubao wake.

Huyu bwana Mungu amempumzisha.

Tulipenda mafundisho yake ya kutunza muda sana.
 
Ni yule jamaa mwenye vits!
 
duh hii misiba! sijui kuna outbreak tena
 
Aiseee, na alikua anatoa somo kwa upendo sana bila kulipwa, Mungu amlaze
 
Niliwahi kuhudhuria mafundisho yake, pale nyumbani kwake Arusha.

Dah ile sehemu imetulia sana.....kimyaaa...ni ndege tu ndio wanasikika.

Pa kishua sana.

R.I.P Teacher Bill
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…