Duh ndg. Donkey msaidie punda mwenzako.Hongera sana Kwa kusaidia kiumbe huyo. Nakushauri umtafute daktari wa mifugo wa kata husika na umpe taarifa hizo.
Mkuu fanya majukumu yako ya utu. Kama kuna daktari wa mifugo muite amchome sindano ya antibiotic na usiache kumhudumia.Wakuu, hapa Tabora mjini eneo la Ipuli pana huyu punda kaonekana siku ya jumapili akiwa na jeraha mguuni. Jumatatu akiwa hoi nikaamua kumpa maji na kufanya jitihada za mmiliki aje kumchukua.
Ajabu mwenye punda huyu hupita tu kwa pikipiki na kumtazama.
Mungu akubariki kwa kujali kwako. Huyu anahitaji dr wa mifugo. Unaweza kuanzaia kwa mtendaji wa sehemu husika ila amalazimishe mwenye punda kuchukuwa hatua. Mguu umevunjika au una jereha?Wakuu, hapa Tabora mjini eneo la Ipuli pana huyu punda kaonekana siku ya jumapili akiwa na jeraha mguuni. Jumatatu akiwa hoi nikaamua kumpa maji na kufanya jitihada za mmiliki aje kumchukua.
Ajabu mwenye punda huyu hupita tu kwa pikipiki na kumtazama. Jumatano wakaja vijana watatu wakimletea majani hayo makavu na ndoo ya maji, nikawafuata na kuwasisitizia kumchukua lakini hawajaonekana tena hivo naendelea kumpoelekea maji ya kunywa nae kaanza nizowea maana akiniona tu na ndoo yangu ya maji husimama na kuanza kunywa.
Naomba ushauri wa kufanya maana ananitia huruma kwani yupo jirani tu na makazi yangu.
Mtafute daktari amtibu . Utapata thawabuWakuu, hapa Tabora mjini eneo la Ipuli pana huyu punda kaonekana siku ya jumapili akiwa na jeraha mguuni. Jumatatu akiwa hoi nikaamua kumpa maji na kufanya jitihada za mmiliki aje kumchukua.
Ajabu mwenye punda huyu hupita tu kwa pikipiki na kumtazama. Jumatano wakaja vijana watatu wakimletea majani hayo makavu na ndoo ya maji, nikawafuata na kuwasisitizia kumchukua lakini hawajaonekana tena hivo naendelea kumpoelekea maji ya kunywa nae kaanza nizowea maana akiniona tu na ndoo yangu ya maji husimama na kuanza kunywa.
Naomba ushauri wa kufanya maana ananitia huruma kwani yupo jirani tu na makazi yangu.
😄😄 Na akufaaye kwa dhiki ndie rafiki.Namsaidia kabisa ni ndugu yangu. Akishampata daktari wa mifugo alete mrejesho kutoka Kwa Dr Ili mapendekezo na hatua zingine zifuate. Undungu ni kusaidia Kwa shida na raha
Unaweza kushtakiwa kwa kutenda ukatiri kwa mnyamaMchukue huyo ni wa kwangu nimeshindwa kumfuga
Kama huna cha kupost siuache uzi upite, we unadhani hichi ulichopost kina utu? Jitahidi kuwa mwema hata kama umejificha nyuma ya keybord.Duh ndg. @Donkey msaidie punda mwenzako
Umeshakula?Kama huna cha kupost siuache uzi upite, we unadhani hichi ulichopost kina utu? Jitahidi kuwa mwema hata kama umejificha nyuma ya keybord.
Be blessed mkuu,kweli damu Ni nzito kuliko maji.Mleta mada. Naomba mrejesho kuhusu hali ya punda
Naona punda mkubwa yuko makini kupata taarifa za punda mdogo...Mleta mada. Naomba mrejesho kuhusu hali ya punda
Wakuu, hapa Tabora mjini eneo la Ipuli pana huyu punda kaonekana siku ya jumapili akiwa na jeraha mguuni. Jumatatu akiwa hoi nikaamua kumpa maji na kufanya jitihada za mmiliki aje kumchukua.
Ajabu mwenye punda huyu hupita tu kwa pikipiki na kumtazama. Jumatano wakaja vijana watatu wakimletea majani hayo makavu na ndoo ya maji, nikawafuata na kuwasisitizia kumchukua lakini hawajaonekana tena hivo naendelea kumpoelekea maji ya kunywa nae kaanza nizowea maana akiniona tu na ndoo yangu ya maji husimama na kuanza kunywa.
Naomba ushauri wa kufanya maana ananitia huruma kwani yupo jirani tu na makazi yangu.