Pundamilia ' Ndasiata' ualbino ameonekana Hifadhi ya Taifa ya Serengeti

Pundamilia ' Ndasiata' ualbino ameonekana Hifadhi ya Taifa ya Serengeti

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Pundamilia ' Ndasiata' ualbino ameonekana Hifadhi ya Taifa ya Serengeti mapema Februari mwaka huu.

Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la wanyama wenye rangi za kuangaza ambapo ualbino ndio sababu ya kawaida ya muonekano huo.

Wakati, pumbamilia maarufu Tira ambaye pia alionekana Kenya na Tanzania alikuwa na rangi nyeusi iliyozidi na sasa anaendelea vizuri katika maeneo ya Serengeti, Tanzania ambako inaaminika kuwa ndio nchi yake ya asili.
b7bf4da8a93e42ddb1651456dbbd83a8.jpg
731c3a53d5624e6baf9b66b8475d54b0(1).jpg
40fb48f917de4fde8a3726206a910e7c.jpg
 
hata kuwa yupo chini ya ulinzi na kafungiwa gps kama simba na baazi ya wanyama ambao hatari kutoweka au kuwindwa
 
Back
Top Bottom