Punguza chuki huwezi kuishi peke yako na hutaishi milele

Punguza chuki huwezi kuishi peke yako na hutaishi milele

Joined
Nov 6, 2016
Posts
77
Reaction score
271
PUNGUZA CHUKI, HUWEZI KUISHI PEKE YAKO NA HUWEZI KUISHI MILELE

Na Comrade Ally Maftah

Baada ya kujitafakarisha asubuhi nimajiuliza maswali mengi sana, ikiwa mimi nina miaka 32, na ikiwa Mungu amenipa uhai wa miaka 50 duniani si shaka kwamba nimebakiza miaka 18 tu ya kuonyesha upendo wangu kwa wenzangu, nikajiuliza ni kwanini nimchukie mtu ambae sikumuumba, nacheka, nikarejea kauli ya Big Ben - watu ni zawadi yako kutoka kwa Mungu, nikawazaa nikasema kumbe mimi nimebarikiwa sana zawadi ni nyingi mno, kila ninaemuona nasema akhasante mungu huyu ni mteja, mdhamini, au mcheshi wangu, atakaenipa furaha na faraja katika siku zilizobaki.

NDUGU YANGU ACHA CHUKI, DUNIA NI YA MUNGU HUWEZI KUISHI PEKE YAKO NA HUTOISHI MILELE.

Ndimi Comrade Ally Maftah
PAKOME WA MCHONGO
MTOTO WA DR SAMIA
 

Attachments

  • IMG-20240827-WA0000.jpg
    IMG-20240827-WA0000.jpg
    63.2 KB · Views: 4
  • IMG-20240827-WA0001.jpg
    IMG-20240827-WA0001.jpg
    70.1 KB · Views: 4
PUNGUZA CHUKI, HUWEZI KUISHI PEKE YAKO NA HUWEZI KUISHI MILELE

Na Comrade Ally Maftah

Baada ya kujitafakarisha asubuhi nimajiuliza maswali mengi sana, ikiwa mimi nina miaka 32, na ikiwa Mungu amenipa uhai wa miaka 50 duniani si shaka kwamba nimebakiza miaka 18 tu ya kuonyesha upendo wangu kwa wenzangu, nikajiuliza ni kwanini nimchukie mtu ambae sikumuumba, nacheka, nikarejea kauli ya Big Ben - watu ni zawadi yako kutoka kwa Mungu, nikawazaa nikasema kumbe mimi nimebarikiwa sana zawadi ni nyingi mno, kila ninaemuona nasema akhasante mungu huyu ni mteja, mdhamini, au mcheshi wangu, atakaenipa furaha na faraja katika siku zilizobaki.

NDUGU YANGU ACHA CHUKI, DUNIA NI YA MUNGU HUWEZI KUISHI PEKE YAKO NA HUTOISHI MILELE.

Ndimi Comrade Ally Maftah
PAKOME WA MCHONGO
MTOTO WA DR SAMIA
Tone and diction reflect experience? Anaeudhi kaudhiwa, anaetukana katukanwa, anaekejeli kakejeliwa, anaebweka kabwekewa, anaepasha kapashwa, anaechamba kachambwa..? Is there loss of meaning in modulation?
 
PUNGUZA CHUKI, HUWEZI KUISHI PEKE YAKO NA HUWEZI KUISHI MILELE

Na Comrade Ally Maftah

Baada ya kujitafakarisha asubuhi nimajiuliza maswali mengi sana, ikiwa mimi nina miaka 32, na ikiwa Mungu amenipa uhai wa miaka 50 duniani si shaka kwamba nimebakiza miaka 18 tu ya kuonyesha upendo wangu kwa wenzangu, nikajiuliza ni kwanini nimchukie mtu ambae sikumuumba, nacheka, nikarejea kauli ya Big Ben - watu ni zawadi yako kutoka kwa Mungu, nikawazaa nikasema kumbe mimi nimebarikiwa sana zawadi ni nyingi mno, kila ninaemuona nasema akhasante mungu huyu ni mteja, mdhamini, au mcheshi wangu, atakaenipa furaha na faraja katika siku zilizobaki.

NDUGU YANGU ACHA CHUKI, DUNIA NI YA MUNGU HUWEZI KUISHI PEKE YAKO NA HUTOISHI MILELE.

Ndimi Comrade Ally Maftah
PAKOME WA MCHONGO
MTOTO WA DR SAMIA
Tone and diction reflect experience? Anaeudhi kaudhiwa, anaetukana katukanwa, anaekejeli kakejeliwa, anaebweka kabwekewa, anaepasha kapashwa, anaechamba kachambwa..? Is there loss of meaning in modulation?
 
PUNGUZA CHUKI, HUWEZI KUISHI PEKE YAKO NA HUWEZI KUISHI MILELE

Na Comrade Ally Maftah

Baada ya kujitafakarisha asubuhi nimajiuliza maswali mengi sana, ikiwa mimi nina miaka 32, na ikiwa Mungu amenipa uhai wa miaka 50 duniani si shaka kwamba nimebakiza miaka 18 tu ya kuonyesha upendo wangu kwa wenzangu, nikajiuliza ni kwanini nimchukie mtu ambae sikumuumba, nacheka, nikarejea kauli ya Big Ben - watu ni zawadi yako kutoka kwa Mungu, nikawazaa nikasema kumbe mimi nimebarikiwa sana zawadi ni nyingi mno, kila ninaemuona nasema akhasante mungu huyu ni mteja, mdhamini, au mcheshi wangu, atakaenipa furaha na faraja katika siku zilizobaki.

NDUGU YANGU ACHA CHUKI, DUNIA NI YA MUNGU HUWEZI KUISHI PEKE YAKO NA HUTOISHI MILELE.

Ndimi Comrade Ally Maftah
PAKOME WA MCHONGO
MTOTO WA DR SAMIA
(PUNGUZA CHUKI, HUWEZI KUISHI PEKE YAKO NA HUWEZI KUISHI MILELE)
Hili wana ccm wenzako wanalijua?
 
Tone and diction reflect experience? Anaeudhi kaudhiwa, anaetukana katukanwa, anaekejeli kakejeliwa, anaebweka kabwekewa, anaepasha kapashwa, anaechamba kachambwa..? Is there loss of meaning in modulation?
Hivyo yaan👊
 
Back
Top Bottom