JMipicha
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 704
- 1,083
Habari wana JF nina imani mko powa powa sana. Nyungu muhimu sana .
Twende kwenye mada mmoja kwa mmoja ..
Wanaume kwa wanawake punguzeni wivu wa kijinga katika mahusiano maana Matokeo ya wivu huo ni mbaya
Unakuta kila saa unampigia simu mkeo au girl friend wako kila saa una mtext kama umemkopesha .
Yaan wewe ni purukushan nakuambia hivi mwisho wa hayo ni kuchokana na kuona hamna jipya
Maana siku nzima wewe ni usumbufu tu text ,simu yaan hamna muda wa kumiss ana
NAKUAMBIA UKIFANYA HAYO KWA MKEO AU GIRL FRIEND WAKO HAMTADUMU YAAN NI VERY BORIED LIFE [emoji35]
Nawasilisha uzi ....
Twende kwenye mada mmoja kwa mmoja ..
Wanaume kwa wanawake punguzeni wivu wa kijinga katika mahusiano maana Matokeo ya wivu huo ni mbaya
Unakuta kila saa unampigia simu mkeo au girl friend wako kila saa una mtext kama umemkopesha .
Yaan wewe ni purukushan nakuambia hivi mwisho wa hayo ni kuchokana na kuona hamna jipya
Maana siku nzima wewe ni usumbufu tu text ,simu yaan hamna muda wa kumiss ana
NAKUAMBIA UKIFANYA HAYO KWA MKEO AU GIRL FRIEND WAKO HAMTADUMU YAAN NI VERY BORIED LIFE [emoji35]
Nawasilisha uzi ....