Tanzania bado ni nchi maskini ambao bado tunajitafuta. Na kuna upungufubwa ajira kwa kiasi kikubwa sanaa, hii inatokana kwa sababu serikali bado hawajawa serious katika hili. Nimeandika story of change
Lakini nataka leo nitolee namna ambavyo kuna watu wamesoma civil engineering ngazi ya certificate na diploma na degree wengi hawana ajira wanaishia kuwa mawakala wa simu.
Sasa barabara zetu nyingi ni mbovu na niamini mimi haziwezi jengwa kwa kiwango cha rami miaka 20 ijayo.
NA KILA MWAKA ZINAPATA MASHIMO KUTOKANA NA MVUA. ZINAARIBIKA, HIVI SERIKALI IKIAMUA INUNUE SETI (haya magari ambayo tunayaona yanatengeneza barabara catapila, nk) ambayo kuna watu wanayamiliki mtu mmoja mmoja
Na ikinunua kila wilaya iwepo seti nzima inayojitosjekeza alafu wakaajili hawa civil engineering ngaz ya diploma na degree na certificate nk kila kata/wilaya awepo mmoja ambaye kazi zao si kukaa ofisini bali ni kutengeneza barabara za vumbi na kuziba mashimo.
Na hata hizi jenzi ndogo za mashuke zahaanat majengo yenye thamn ndogo wapewe wao wasimamie hamna cha kutangaza tenda. Hata ukimlipa laki 5 unakuwa umepunguza garama nying sana. Kwani afisa ugani ana kazi gani kupima nyama inayochinjwa?
Lakini nataka leo nitolee namna ambavyo kuna watu wamesoma civil engineering ngazi ya certificate na diploma na degree wengi hawana ajira wanaishia kuwa mawakala wa simu.
Sasa barabara zetu nyingi ni mbovu na niamini mimi haziwezi jengwa kwa kiwango cha rami miaka 20 ijayo.
NA KILA MWAKA ZINAPATA MASHIMO KUTOKANA NA MVUA. ZINAARIBIKA, HIVI SERIKALI IKIAMUA INUNUE SETI (haya magari ambayo tunayaona yanatengeneza barabara catapila, nk) ambayo kuna watu wanayamiliki mtu mmoja mmoja
Na ikinunua kila wilaya iwepo seti nzima inayojitosjekeza alafu wakaajili hawa civil engineering ngaz ya diploma na degree na certificate nk kila kata/wilaya awepo mmoja ambaye kazi zao si kukaa ofisini bali ni kutengeneza barabara za vumbi na kuziba mashimo.
Na hata hizi jenzi ndogo za mashuke zahaanat majengo yenye thamn ndogo wapewe wao wasimamie hamna cha kutangaza tenda. Hata ukimlipa laki 5 unakuwa umepunguza garama nying sana. Kwani afisa ugani ana kazi gani kupima nyama inayochinjwa?