KiwandaniTz
Member
- Jan 8, 2019
- 44
- 38
kiasi chochote kile tuna thamini kila hela ya mteja wetuKbla sijakutafuta kwa simu unaanza kuhudumia kwa kiasi gaani!?
kwa njia ya gari,vibali kwa mzigo mdogo hamnaUnatuma kwa njia gani na je kuna vibali vyovyote vinahitajika
Mbona ghali sana?Dagaa wa matafuta kutoka ZIWA VICTORIA,TUPO MWANZA mikoani tunasafirisha buree kabsa .
Mawasiliano yetu.
0755213580 Au whattsapp 0755213580.
Kiasi kikubwa na kidogo tunauza..
Karibu sana mteja wetu
okMbona ghali sana?
whattasap nakutumia mkuuWeka bei na picha
ukihitaji mzigo mkubwa utachukua kwa 150,00/=kila debeMbona ghali sana?
bei nimeweka hapo juu mkuu
mkuu naona kuna mtu anakujibu lakini sio mhusika ,,kwepa matapeliKbla sijakutafuta kwa simu unaanza kuhudumia kwa kiasi gaani!?
mkuu usije tapeli mteja wangu ,whattasap nakutumia mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu mbona unajijeuka mwenyewe kwenye uzi wakom
mkuu usije tapeli mteja wangu ,
sorry mkuu, nimechanganya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu mbona unajijeuka mwenyewe kwenye uzi wako
Sent using Jamii Forums mobile app