Punyeto ya inzi ni salama na haina madhara kabisa

Jamn achen uongo hata kidogo. Siamin kbsaaa. JF Mmezid u komedy jaman tuambien ukweli[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji38]
 
Jamn achen uongo hata kidogo. Siamin kbsaaa. JF Mmezid u komedy jaman tuambien ukweli[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji38]
huyu nzi pia anaweza kufanya mwanamke nae kufika kileleni kwa raha mustarehe kama unataka kujua ni pm
 
Imbombo ngafu. Wanaume wenyewe walivyo wachache, hapo bado kuna michepuko binadamu, tuanze tena kugombaniana na nzi, mara papai, mara kamba hehehhe
Kuna haja ya kuanzishwa kwa harakati za wadudu na matunda, lasivyo tutajiwowa dota, umesahau bado kuna mapunga.

Kuna mmoja alikuwa anasema haoni sababu ya kuoa (ili apate nini) leo nimemuona nae humu kumbe ndiosababu!!!
 
Kuna haja ya kuanzishwa kwa harakati za wadudu na matunda, lasivyo tutajiwowa dota, umesahau bado kuna mapunga.

Kuna mmoja alikuwa anasema haoni sababu ya kuoa (ili apate nini) leo nimemuona nae humu kumbe ndiosababu!!!
Haha ninong'oneze huyo mtu. Kwa kweli itabidi tu tuandamane, hatutoolewa kama sio ndoa kuvunjika kisa nzi katuzidi maujanja hehe
 
Haha ninong'oneze huyo mtu. Kwa kweli itabidi tu tuandamane, hatutoolewa kama sio ndoa kuvunjika kisa nzi katuzidi maujanja hehe
Wengine wameathirika kiasi kwamba hawezi kabisa akiwa na mwanamke, alafu anajisifia!!! Kaaaazi kweli kweli.
 
Hivi hakuna nyeto ya nyuki labda maana kama inzi mdogo sana atakuwa hatekenyi vilivyo
 
Wengine wameathirika kiasi kwamba hawezi kabisa akiwa na mwanamke, alafu anajisifia!!! Kaaaazi kweli kweli.
Yani hawa wajukuu zako wa kiume, sijui niwafanyie maombi ya namna gani, mwee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…