Pure Germany Shepherd puppies nauza

Pure Germany Shepherd puppies nauza

Joined
Jul 13, 2015
Posts
13
Reaction score
1
Nauza mbwa wadogo aina ya germany shepherd.....kwa yeyote atakae hitaji anipigie kwenye number yangu 0753505783
 
Sema bei na kuweka picha hapa watu wajipime ubavu kabla ya kupiga simu
 
Picha na bei muhimu sema pia unapatikana maeneo ya wapi.
 
Picha,bei,eneo ulipo ni muhimu.

Siwezi kupiga simu baadae unaniambia uko mwanza mimi niko Dar.
 
Weka Mawasiliano ya Simu, ainisha udogo kwa kutaja Umri, weka Picha na ikiwezekana Bei zake na eneo la kufanya Mauzo au kutembelea kuona Hao Mbwa. Mie binafsi nahitaji
 
Yaaani Araawa unauza Mbwa? hiyo biashara ya kuuzwa mbwa haifai kabisa mangi... ni nuksi
 
Picha hiyo hapo
 

Attachments

  • 1439899926797.jpg
    1439899926797.jpg
    43.3 KB · Views: 388
Pohamba,Albimany,master mind himself,stephot,emmanepoultryfarm,munisijo,ngongo,everlenk na jephta 2003....picture nimeweka na mm napatikana yombo makangarawe...Temeke...bei ni 800000
 
Bei kubwa sana labda uwatafute wazungu ndio watamudu 800,000/= bei ya mbwa aina hiyo ni kati ya tsh 200,000/= hadi 300,000/=. mwisho.
 
Back
Top Bottom