OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Mwanangu jogging ni tamu kinyama ..hii ndio mwisho wa matatizo.Push up nimekuwa mvivu siku hizi
Napiga zangu jogging 5km kwa 30 dk
Jasho chapaaaa
Baada ya hapo ratibu ya siku inaendelea
Napenda zile ligi zetuMwanangu jogging ni tamu kinyama ..hii ndio mwisho wa matatizo.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]hii ligi uwa ni ya kimyakimya hamuambiani lakini nyote mnakuwa mnajuwa kuwa mpo mnashindana[emoji23][emoji23][emoji23]Napenda zile ligi zetu
Unamtafuta mtu kwa mbaali ukimkaribia naye anaongeza speed[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23]hii ligi uwa ni ya kimyakimya hamuambiani lakini nyote mnakuwa mnajuwa kuwa mpo mnashindana[emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu mara nyingi ule wakati ukijihisi kuchoka juwa na mshindani wako ni hivo hivo , kwaiyo ukipunguza sipidi mshindani wako anajisemea "afadhari, uyu mpuuzi angekaza kidogo tu angenipita"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha
Kwenye hii ligi huwa natembea kama siendi kumbe niko kasi balaa
Unatumia masaa mangapi kufikia hizo 200? Hunaga kazi za kufanya asubuhi inaonekana.Mimi daily lazima nipige push-up 200 kila hasubui ,
Napiga 20 raundi inayofata napiga 19 then 18 then 17 ,yaani napiga kwa kupunguza moja moja mpaka nikifikia push-up 5 .zinakuwa zimekamirika 200
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sina kazi za kufanya??[emoji28]Unatumia masaa mangapi kufikia hizo 200? Hunaga kazi za kufanya asubuhi inaonekana.
Mimi kila asubuhi napiga 20 awamu tano, zinakuwa 100. Usiku sipigi, nakua nimechoka, nimeshiba.
Siri ya mazoezi ni muendelezo.Nilipofika Dar kikazi mwaka 2011
Nyumba niliyokuwa naishi hapa Kkoo,Chini yake ndio ofisini
Kwa maisha haya,nilijikuta naanza kupata Uvivu wa hali ya Juu
Kwasasa nilivyo,ni zaidi ya Uji wa Mgonjwa
Dah
Nimepata na Kitambi kabisa
Kila nikifiria kuanza,napatwa na uzito wa ajabu,na nikianza ndani ya wiki mbili na zaidi,nitaumwa hatari
Nikipona,mazoezi ndio basi
Ila
Nakumbukia enzi zangu za mazoezi,niliishi maisha ya furaha sana.
Ndugu zangu
Mbarikiwe sana
Mazoezi ni dawa
Kula msosi nduguMimi nikipiga Push up...kwa lengo la kuongeza body....najikuta napungua....kama nakonda ivi....nikiacha mwili unarudi hali yake ,,,,nakosea wapi wakuu?
Mkuu sijawah ingia gym mazoez yangu ni push ups na kukimbia uwanja..ila ukiniona unaweza kuhisi nakesha gymhuwa napiga 300 kila siku, siku nikiwa nipo kwenye mood sana napiga 300+ na siku nyingine nikiwa sipo kwenye mood kama leo nimepiga 200 tu. Siku hizi najitahidi nafanya na squart kidogo.
kuna kipindi nilikua napiga asubuhi na jioni, asubuhi napiga 100 na jioni napiga 250 au 300, kaka achaa..nilikua pande la jitu.
Alafu ukiwa unakula unashiba vizuri mwili uwe mzito mzito, ma push-ups
yanapasua kifua balaa, sasa sijui ni kwangu tu au na wengine ni hivyo.
napenda push-ups sana nahisi nimeshakuwa addicted siku ikipita sijafanya najihisi hovyo.
nb. natumia push-up pads zile kubwa
Hii ni kweli...kama mm huwa natumia hadi 40 min na nikivaa hz condoms huwa sipiz kabisaUkitaka uharb biashara ya vumbi la Congo na mchuz wa pweza docta aseme kweny TV kwamba push up zinaongeza nguvu za kiume na kuchelewa kuwaona wazungu utaona asubuhi vijana wanavopambana