Unapenda sana hiyo kitu?Wale wanaopiga morning glory wote mikono juu.
Unapenda sana hiyo kitu?
Mama mkwe shkamo...[emoji137]Yes, huwa nafanya mazoezi asubuhi mwishoni napiga pushups, mpaka sasa naweza kupiga saba tu na naishia kulala hapo hapo, duuuu
Aise ni push ups as push ups, don't misquote me
[emoji1690]Wale wanaopiga morning glory wote mikono juu.
πSiipeendiiiiiii.....
π
Morning was good enough mamy!Mjukuu mpenda wenye mapengo hujambo!???
Ulisifu na kuabudu leo asubuhi?
Morning was good enough mamy!
Alinipa platform ya kitandani..π
Mapengo mwisho kwako..π
Mkuu hivi zile Dodoma Wine mmepita nazo au mmeziacha tu mezani huko... Dahh..πππππππππππTulio Dodoma Ndiyo Tumemwelewa Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania