Puss cells 35-40

Puss cells 35-40

EngAlex

New Member
Joined
Dec 14, 2017
Posts
2
Reaction score
1
Habari zenu waungwana naomba msaada, nilipima mkojo na majibu ya vipimo ni Macro: yellow specimen Micro😛uss cells 35 - 40 hpf je ni sahihi kuandikiwa ciproffluxin kama dawa kwajili ya hilo?
 
Umepewa kwa Siku ngapi

Kuanzia siku saba mpaka kumi inafaaa
 
Hapana kwanza huyo aliyepima hakuwa na.uhakika na majibu yake maana haja slesify majib amefanya kama ku gues tu wataalamu wa maabara makini huwezi report ivyo kijinga hata daktar makini hawezi kubali majibu hayo any way tumia dawa mkuu
 
Hapana kwanza huyo aliyepima hakuwa na.uhakika na majibu yake maana haja slesify majib amefanya kama ku gues tu wataalamu wa maabara makini huwezi report ivyo kijinga hata daktar makini hawezi kubali majibu hayo any way tumia dawa mkuu
Unakosea sana asee kama huna taaluma hiyo ni bora uulize
Majibu ya mkojo huripotiwa hivyo ndio SOP zinavyoeleza sasa sijajua wasiwasi wako ninini? Au hofu yako ninini?
 
Habari zenu waungwana
Naomba msaada, nlipima mkojo na majibu ya vipimo ni
Macro: yellow specimen
Micro😛uss cells 35 - 40 hpf
Je ni sahihi kuandikiwa ciproffluxin kama dawa kwajili ya hilo?
Yes ciplofloxacin ni dawa inamaliza hilo tatizo ila kama unahisi una pata na maumivu ya tumbo chini ya kitovu nunua na metromidazole uchanganye
 
Kaka ulisomea chuo gani icho ambacho wlikuambia kuripoti ivyo na SOP gani mkuu ambayo inakuambia ivo
 
Inawezekana pia umekariri tafuta monica manual volume 2 medical microbiology kasome collection examination culturing and reporting of urine spacemen
Unadhan wanaoriport ni wajinga sana ok fanya unachokiamini huna haja ya kujua nimesomea wapi
Kumbe ndii nyie mnaokalili mpk nukta kisa imeanfikwa kwny monica vol 2 kwani aliyeandika ni malaika siyo binadamu halafu vitu vinabadilika kila siku siwezi laumu inawezekana ndo nyie mliosoma karne hiyo ya kukariri
 
Unakosea sana asee kama huna taaluma hiyo ni bora uulize
Majibu ya mkojo huripotiwa hivyo ndio SOP zinavyoeleza sasa sijajua wasiwasi wako ninini? Au hofu yako ninini?
Kwani alishindwa kuripot WBC 40/hpf
 
Kwani alishindwa kuripot WBC 40/hpf
Hiyo ni just reporting na iko accepted kabisa anae report
30-40WBC/hpf atayeriport pus cells 30-40/hpf atayeriport 40wbc/hpf atayeriport pus cells 40/hpf wote wako sawa hamna aliye out of results na hakuna atakayeshindwa kusoma manual ndio zinaelekeza kila lab ina utaratibu wake wa kujibu
Wbc =pus cells
Pus cell= dead leucocytes
 
Mtalaam wa mambo ya; mabara hawezi kureport namna hyo.

Kwanza kabisa puss cells hurepotiwa kama ifuatavyo.
Example MACRO: Colour of specimen: unareport Kama ifuatavyo
Kuna rangi zake ambazi ni
Colourless= inaweza Kisukari au laa
Clear & pale yellow = hapa hana tatizo
Yellowishi(slight & deep yellowish) mfumo wa mkojo ni mchafu au ana homa
Red, =Haemoglobin, microalbinuria
Black/brown = melanin au alkaptunuria hasa wale wa albinism.
Milky purulent





ABOUT MICRO: puss cell <40 au <40 seen
Epithelial cells ++ au +++ seen
Kama hamna kitu una report NIL.
Huu ndo. Mfumo wa mkojo, lakin kuna baadhi ya vitu kama mtu unamkuta ana Calcium oxalate, amorphous sulphate, T. Vaginalysis, H. Mansoni,

Hapo unaonekana umeenda shule kweli Siyo unareport 35-45 Hpf ndo nini sasa.
 
Back
Top Bottom