Putin anazidi kuiharibu Urusi. Baada ya meli yake kuzama naamini uungwaji mkono wa Putin nchini mwake utapungua.

Putin anazidi kuiharibu Urusi. Baada ya meli yake kuzama naamini uungwaji mkono wa Putin nchini mwake utapungua.

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Meli ya kivita ya urusi Moskva flag ship imegeuzwa kuwa Nyambizi na waukraini.

Hii ni taarifa mbaya sana kwa Warusi na kwa ujumla meli hii ilikuwa ndiyo nembo kuu ya urusi huko black Sea.

Vita ya Ukraini vimeiexpose Urusi na kuwaacha utupu wa mnyama.

Aibu kubwa kwa Putin na kwa Hali inavyoendelea itabidi arudi nyuma zaidi ili ajisalimishe kiusalama maana Mwingereza tayari ameanza kufanya yake.

Wakati wa Vita baridi meli hii ilibeba nyuklia pia na kulingana na tension ya Vita hii ya Ukraine inawezekana all personel na silaha zote zimelamba tope. Urusi inabidi ijitafakari na ielewe kabisa dunia ya Leo haiendeshwi na washamba.


images (3).jpeg

Picha kwa hisani ya mtandao.

000_32823PG.jpeg

#Wahuni siyo watu.
 
Meli ya kivita ya urusi Moskava flag ship imegeuzwa kuwa Nyambizi na waukraini. Hii ni taarifa mbaya sana kwa Warusi na kwa ujumla meli hii ilikuwa ndiyo nembo kuu ya urusi huko black Sea. Vita ya Ukraini vimeiexpose Urusi na kuwaacha utupu wa mnyama. Aibu kubwa kwa Putin na kwa Hali inavyoendelea itabidi arudi nyuma zaidi ili ajisalimishe kiusalama maana Mwingereza tayari ameanza kufanya yake.
View attachment 2187976
#Wahuni siyo watu.
Hiyo meli kila mrusi alikuwa anaijua na kujivunia kuwa ndilo baba Lao kwenye vita

kuharibiwa Kwake imani ya warusi kwa Jeshi lao na Putin itashuka na morale ya wanajeshi utashuka
 
Taarifa zinasema kwa ground mrusi alipofika hajaweza kusogea mbele itambidi aongeze force mpya kwa mashambulizi, Ukraine wameweza kulinda vizuri, hiyo meli Urusi wamepata aibu kubwa wao wenyewe wanakataa wanasema imeripuka wenyewe lakini Ukraine wanakiri wameigonga vibaya mno
 
Meli ya kivita ya urusi Moskava flag ship imegeuzwa kuwa Nyambizi na waukraini. Hii ni taarifa mbaya sana kwa Warusi na kwa ujumla meli hii ilikuwa ndiyo nembo kuu ya urusi huko black Sea. Vita ya Ukraini vimeiexpose Urusi na kuwaacha utupu wa mnyama. Aibu kubwa kwa Putin na kwa Hali inavyoendelea itabidi arudi nyuma zaidi ili ajisalimishe kiusalama maana Mwingereza tayari ameanza kufanya yake.
View attachment 2187976
#Wahuni siyo watu.
Watu wanamchukulia poa sana muingereza. Ila muingereza ni hatari sana ktk propaganda. Na tukumbuke muingereza alliweza kuitawala nchi nyingi za dunia hii

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Meli ya kivita ya urusi Moskava flag ship imegeuzwa kuwa Nyambizi na waukraini. Hii ni taarifa mbaya sana kwa Warusi na kwa ujumla meli hii ilikuwa ndiyo nembo kuu ya urusi huko black Sea. Vita ya Ukraini vimeiexpose Urusi na kuwaacha utupu wa mnyama. Aibu kubwa kwa Putin na kwa Hali inavyoendelea itabidi arudi nyuma zaidi ili ajisalimishe kiusalama maana Mwingereza tayari ameanza kufanya yake.
View attachment 2187976
#Wahuni siyo watu.
As I had talked somewhere in others threads, wameshaisoma vizuri zaidi Russian its time to scramble this stupid giant and immersing this dude to blacksea.
 
Ila Rusia nao wanatia aibu sasa nchi km ile ilipigana vyema sana vita ya pili ya dunia na Sisi tukaiheshimu mpaka sasa. Leo wanapigika kizembe kweli kweli.. huu ni upuuzi.. ama ndo kuna watu wamejificha kwa mgongo wa ukraine ndo wanamtandika kimya kimya mrusi.
 
Ila Rusia nao wanatia aibu sasa nchi km ile ilipigana vyema sana vita ya pili ya dunia na Sisi tukaiheshimu mpaka sasa. Leo wanapigika kizembe kweli kweli.. huu ni upuuzi.. ama ndo kuna watu wamejificha kwa mgongo wa ukraine ndo wanamtandika kimya kimya mrusi.
Kuna Highly skilled Mesenaries wamekuwa deployed Ukraine na hao ndio wanamtesa Mrusi
 
Back
Top Bottom